Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,797
- 28,460
Ndugu zangu! Sote tunafahamu kazi kubwa ya wandisi wanaohitimu katika vyuo vyetu ajira zao nyingi zilikuwa zinapatikana kupitua kampuni za ujenzi.
Kumbukeni miradi mingi katika nchi ni ile ya serikali, kama zahanati, barabara za vijijini, majengo ya madarasa, mabweni, na shughuli nyingine nyingi za ujenzi.sasa unakupa vijana wanaajiriwa katika kampuni hizo. Hao vijana wakipata ajira hizo nao huanzisha miradi tofauti tofauti ambapo nao huajiri watu katika biashara zao na mwisho ni muendelezo wa uzalishaji wa ajira hivyo hivyo.
Kumbuka kutokana na uchumi duni Watanzania walio wengi hawatumii wahandisi katika ujenzi hata was nyumba zao,ndipo linapokuja swala la ajira zao kuwezeshwa na serikali pekee.
Sasa huko serikalini kitu kinaitwa force akount yani wanatumia mafundi wa kawaida-mwisho wake madhara ya kiufundi huwa ni makubwa lakini kubwa zaidi ni madhara ya kiuchumi.
Serikali inasema lengo kubwa ni kupunguza gharama, lakini mile naona hii sio haja maana kama ungwekwa utaratibu mzuri na usimamizi haya yote yanawezekana.
Kumbukeni miradi mingi katika nchi ni ile ya serikali, kama zahanati, barabara za vijijini, majengo ya madarasa, mabweni, na shughuli nyingine nyingi za ujenzi.sasa unakupa vijana wanaajiriwa katika kampuni hizo. Hao vijana wakipata ajira hizo nao huanzisha miradi tofauti tofauti ambapo nao huajiri watu katika biashara zao na mwisho ni muendelezo wa uzalishaji wa ajira hivyo hivyo.
Kumbuka kutokana na uchumi duni Watanzania walio wengi hawatumii wahandisi katika ujenzi hata was nyumba zao,ndipo linapokuja swala la ajira zao kuwezeshwa na serikali pekee.
Sasa huko serikalini kitu kinaitwa force akount yani wanatumia mafundi wa kawaida-mwisho wake madhara ya kiufundi huwa ni makubwa lakini kubwa zaidi ni madhara ya kiuchumi.
Serikali inasema lengo kubwa ni kupunguza gharama, lakini mile naona hii sio haja maana kama ungwekwa utaratibu mzuri na usimamizi haya yote yanawezekana.