Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,973
- 54,101
Twende mahakamani kutafuta ufafanuzi wa jambo hili mkuu..au unasemaje?Kwenye mitandao ya kijamii hususan Instagram kuna matangazo ya biashara ya umalaya, yaani wanatangaza utafikiri ni biashara ambayo imehalalishwa na wala sijasikia Serikali kulikemea jambo hili, utafikiri huwa hawapitii kwenye hii mitandao na wakati huo huo wiki iliyoisha kuna wasanii walifungiwa nyimbo zao zisichezwe kwenye vyombo vya habari kwa vile hazipo katika maadili ya kitanzania.
Sasa na hao wanaojiuza (live) ni halali kufanya hivyo?
Naombeni ufafanuzi
Hu hu hu huuuuuuuuu 🤓 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Tena awe handsome man mwenye angalau masters utafikiri wewe mwenyewe ni Beyoncé
TRA wameanza kutoa leseni cku hizi...wahi mapema...Kwenye mitandao ya kijamii hususan Instagram kuna matangazo ya biashara ya umalaya, yaani wanatangaza utafikiri ni biashara ambayo imehalalishwa na wala sijasikia Serikali kulikemea jambo hili, utafikiri huwa hawapitii kwenye hii mitandao na wakati huo huo wiki iliyoisha kuna wasanii walifungiwa nyimbo zao zisichezwe kwenye vyombo vya habari kwa vile hazipo katika maadili ya kitanzania.
Sasa na hao wanaojiuza (live) ni halali kufanya hivyo?
Naombeni ufafanuzi
😂 😂 😂 😂Unataka waje kwenu wachukue posho deile?
Mkuu!Twende mahakamani kutafuta ufafanuzi wa jambo hili mkuu..au unasemaje?