mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,277
Embu tupia jina la hiyo Page ya insta tukajionee watoto wa sinza
Ulikoma au ulifaidi mkuu.Nilikoma siku nilipomkuta graduate wa IT tena Masters anadanga. Na alishanidengulia sana mchana ofisini kwake. Ilikuwa ni kumsukuma mlevi.
Vyote mkuu. Nilikoma sababu sikuamini macho yangu na nilifaidi pia sababu alishanidengulia sana. Ila kuanzia siku hiyo nikawa nimepata poozeo la uhakika.Ulikoma au ulifaidi mkuu.
Kwenye mitandao ya kijamii hususan Instagram kuna matangazo ya biashara ya umalaya, yaani wanatangaza utafikiri ni biashara ambayo imehalalishwa na wala sijasikia Serikali kulikemea jambo hili, utafikiri huwa hawapitii kwenye hii mitandao na wakati huo huo wiki iliyoisha kuna wasanii walifungiwa nyimbo zao zisichezwe kwenye vyombo vya habari kwa vile hazipo katika maadili ya kitanzania.
Sasa na hao wanaojiuza (live) ni halali kufanya hivyo?
Naombeni ufafanuzi
Acha wivu wa kike kila mmoja anatafuta riziki yake.
[emoji16] [emoji51] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Deyonce BerrinahMbona mm huwa siwaoni wakiuza huko insta
yuko wapi mkuu huyo demuVyote mkuu. Nilikoma sababu sikuamini macho yangu na nilifaidi pia sababu alishanidengulia sana. Ila kuanzia siku hiyo nikawa nimepata poozeo la uhakika.
Ngoja kwanza tumsikilize Lissu anavyoichafua serikali yetu kwa mabeberu.yuko wapi mkuu huyo demu
ni pm mkuuNgoja kwanza tumsikilize Lissu anavyoichafua serikali yetu kwa mabeberu.