Serikali haiwaoni machangudoa wa Sinza?

Serikali haiwaoni machangudoa wa Sinza?

Ina maana yale maneno yamatusi wanayoyasema mle insta mnayafurahia, au hayana uzito kama zile nyimbo zilizofungiwa?
 
Kwani serikali ndo inawatuma mkawanunue....nyienu acheni kuwanunua muone kama wataendelea na hiyo kazi.....
Halafu pia hayo mambo kuyaona mitandaoni ni mpaka upekenyue sana....au uwe mdau....mtu ambae hana hizo mambo anaweza asijue kabisa kwamba kuna hayo mambo....
Kila mtu awe responsible na matendo yake..full stop
 
Ukifikisha miaka 30+ unakuja na thread ambayo unatafuta mwanaume mwenye kazi, handsome, mwenye mapenzi ya dhati, mrefu, maji ya kunde na mfunge ndoa.
Nimekuacha
Tena anaweka na vigezo vya elimu wakati yeye std seven.
 
Policcm wa patrol za usiku ndio zao hizo. Policcm wanapenda kitonga hadi mapenzi
 
Mkuu umeingiza Tsh ngapi leo kwenye harakat zako? Naona unataka uzuie ofis za watu, simaanishi kua nasapoti ila vitu hiv vilianza tangu na tangu,
 
Acha wivu wa kike kila mmoja anatafuta riziki yake.
[emoji16] [emoji51] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Papuchi atoe mwingine kuumia uumie wewe inahuuuu...
Kila mtu apambane na vyuma vyake
Greasy zimepanda bei mkuu
 
Hahaha serikali ifunge viwanda, ajira ndio zitatoweka na hapa kazi tu, itaisha. Piga kazi!
 
Hahaha ukiwaona wenzio wanaabudu kwa imani yao, usiwadharau kwasababu wewe sio muumini.
Ama jiunge au tambaa, yasiyokudhuru hayakuhusu.
 
Tena anaweka na vigezo vya elimu wakati yeye std seven.
Ni shida tupu. Wangejua mwenye nguvu ya kuoa ni nani wangekuwa wapole tu. Kuchagua huku ndiyo maana unakuta wengi wamezalishwa (single mothers).
 
Hapa tunaukataa ukweli ambao upo hadharani. Hìi biashara ipo na umeshika kasi maeneo mengi! Na pia ina wateja wa wengi wa kumwaga. Hii kusema sijui inakiuka maadili wakati inafanyika hadharani kweupe haina mashiko. Hapa cha kufanya, ihalalishwe na iwe na leseni. Zaidi ya hapo, mgegedo utozwe kodi kama biashara nyingine. Ati tunadai biashara ya ngono haipo wakati wapo wanaoendesha familia tena maisha mazuri tu, wanaojenga, wenye mausafiri ya nguvu, wanaosomesha watoto shule za bei nk. Tubadilike.
 
Policcm wa patrol za usiku ndio zao hizo. Policcm wanapenda kitonga hadi mapenzi
Usipompenda mtu humpendi tu. Unaweza kumlalamikia kakurushia maji ya mvua wakati wa kiangazi.[emoji12] [emoji15] [emoji28]
 
ukiona kuna bidhaa ina maana kuna wateja..
wateja wakubwa ndio hao hao unaouliza kama wanaona au hawaoni
 
Serikali wanyewe wananunua Malaya hao plus maaskari ndoo usiseme
 
Back
Top Bottom