ulaya12
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 834
- 909
Kwenye mitandao ya kijamii hususan Instagram kuna matangazo ya biashara ya umalaya, yaani wanatangaza utafikiri ni biashara ambayo imehalalishwa na wala sijasikia Serikali kulikemea jambo hili, utafikiri huwa hawapitii kwenye hii mitandao na wakati huo huo wiki iliyoisha kuna wasanii walifungiwa nyimbo zao zisichezwe kwenye vyombo vya habari kwa vile hazipo katika maadili ya kitanzania.
Sasa na hao wanaojiuza (live) ni halali kufanya hivyo?
Naombeni ufafanuzi
Sasa na hao wanaojiuza (live) ni halali kufanya hivyo?
Naombeni ufafanuzi