The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,616
Achana na huyu mmk anacommet hivi eti kukomoa chademaTuache habari zenu za takwimu! Je nikikuonyesha maduka 100 yaliyofungwa kwenye mtaa mmoja je wewe Utaweza kunionyesha biashara 200 zilizofunguliwa kwenye mtaa huo huo? Sasa hivi kwa maneno kama haya ndiyo nimeamini Haki ya Mungu kuwa kumbe ni kweli kabisa kuwa huwa mnatuona sisi ni wapumbavu!!! Na kwa hili roho inaniuma kweli! Hapa mtaani ninapoishi palikuwa na maduka sita! Sasa hivi yamebaki mawili tu,nna moja nalo linapumulia mrija!! Hakuna duka jipya lililofunguliwa hapa zaidi ya kiji saloon kidogo cha kunyolea kwenye kibanda ambacho awali kilikuwa stationary na ikafungwa pia!! Halafu we mzee si ulishahama nchi? Mbona unawasaidia watesaji wa ndugu zako?huna hata binamu aliyebaki Tanzania mzee wetu? Au wewe wanakupa nini? Basi tu! Tunamwachia Mungu
kama chanzo cha biashara hizo zilikuwa pesa za madawa ya kulevya na ukwepaji kodi bandarini ni sawa zikifa.Hivi hawa jamaa mbona hawanaga aibu? Kariakoo hapo inakufa,wananchi majalala,, apecha,alolo.
Hiyo nayo ni hoja. Tathmini ya thamani za hizo biashara ikoje kwa maana ya ukubwa: ukubwa wa mitaji, idadi ya nafasi za ajira, nk. Kama inahesabu mashine ya kusaga nafaka kuwa ni kiwanda, ukistaajabu ya Musa, utaona ya Firauni!Hizo biashara labda ni zile za vitambulisho vya Tsh 20,000/- Ila tunaona biashara zimefungwa maduka hayafanyi vizuri hata uchangamfu wa miji, watu haupo kama zamani. Kungekuwa na ufunguzi mkubwa wa biashara kama N. Waziri alivyosema basi TRA isingesisitiza watu wasifunge biashara.
Mbadala wa macho kwa vipofu ni sauti au hisia nyingine za utambuzi.kama chanzo cha biashara hizo zilikuwa pesa za madawa ya kulevya na ukwepaji kodi bandarini ni sawa zikifa.
Reasoning ya namna gani hii
Mweeeee...nawasikiliza. ...View attachment 1098823
Hii aina tofauti na mfanyabiashara aliyefunga biashara kariakoo kisa apati wateja kwa kuwa wafanyabiashara wadogo wadogo watano wapo mbele ya frem yake. Na waziri anasimama na kuutangazia umma kuwa imefungwa biashara moja na zimefunguliwa tano. Hii tunaita sarcasm. Anyway tusubiriKweli namuunga mkono kuwa, biashara zilizofungwa ni chache kulinganisha na zilizofunguliwa. OK lakini ajue kuwa, yawezekana zilizofungwa ni zile zilikuwa zinaingiza Trilion na zinzofunguliwa ni za milion. Huoni tofauti?? Hivi kwa uelewa mdogo tu wa waziri hajui kuwa mwanzo ni mgumu??? Tusiumize vichwa, tusubiri muda ndio mwalimu mzuri
Ujue mkuu hata kina Kagame na udikteta wao lakini wako makini kukuza na kupromote uchumi maana jeuri ya ulinzi wao ni kutokana na mapato hayo .. Sasa wewe acha huyu kunguru mweusi acheze na uchumi ili muda ujifika pesa zimeanza kuwa tabu ndo wabunge kinyeo watapoelewa nini kinaendelea.
Za umachingaAutomatically ajira zimeongezeka karibia mara 9 . Kwa takwimu hizo. Safi sana
Kabisa mkuu hasomi harama za nyakati sasa we muache atakubali show.M7 Na PK wale udikteta wao upo kwenye kuwataka wakuachie kiti hakuna Rangi utoacha kuiona,wale ni wajanja awakupewa Leseni Kwa makaratasi waliisotea porini,wanajua kucheza Na akili ukitaka kudumu madarakani usiwasomeshe no watu wako wasiwe Na njaa Na PILI usiguse maslai ya mabeberu watakumwagia misaada hata udikteta wako awatouona,ili ukigusa maslai ya mabeberu Na ukisomesha namba watu wako lzm utaondoka tu madarakani. Ug Rwanda biashara zinaenda wananchi wanapata riziki zao.Shida ya students awafati mafundisho ya walimu wake,anafanya ligi Na yeyeto si beberu si watu wake.Thus yatamtokea puani,amewashika mabeberu mkono thus wanamnyoosha.
Zipi hizo kama hata kudanga akulipi hakuna offer usawa huu. Hizo 9 zimetokea wapiAutomatically ajira zimeongezeka karibia mara 9 . Kwa takwimu hizo. Safi sana
Takwimu zilizooneshwaZipi hizo kama hata kudanga akulipi hakuna offer usawa huu. Hizo 9 zimetokea wapi
Unatetea ujinga upate kubebwaNdiyooo niliyasema juzi..mtu anasema "biashara zinafungwa" tunamuuliza kulinganisha na nini na lini? Chegeni (au mwingine) anachoweza Ni kuoneshwa takwimu zinazopingana na hizi za serikali
Safi sana serikali - mwendokasi huo ni balaa
Ila huku vilio vimetawala - fedha zimekata kbs