Serikali: Biashara 16,252 zafungwa na 147,818 zafunguliwa kwa kipindi cha Julai, 2018 hadi Aprili, 2019

Tuache habari zenu za takwimu! Je nikikuonyesha maduka 100 yaliyofungwa kwenye mtaa mmoja je wewe Utaweza kunionyesha biashara 200 zilizofunguliwa kwenye mtaa huo huo? Sasa hivi kwa maneno kama haya ndiyo nimeamini Haki ya Mungu kuwa kumbe ni kweli kabisa kuwa huwa mnatuona sisi ni wapumbavu!!! Na kwa hili roho inaniuma kweli! Hapa mtaani ninapoishi palikuwa na maduka sita! Sasa hivi yamebaki mawili tu,nna moja nalo linapumulia mrija!! Hakuna duka jipya lililofunguliwa hapa zaidi ya kiji saloon kidogo cha kunyolea kwenye kibanda ambacho awali kilikuwa stationary na ikafungwa pia!! Halafu we mzee si ulishahama nchi? Mbona unawasaidia watesaji wa ndugu zako?huna hata binamu aliyebaki Tanzania mzee wetu? Au wewe wanakupa nini? Basi tu! Tunamwachia Mungu
Achana na huyu mmk anacommet hivi eti kukomoa chadema
 
Hivi hawa jamaa mbona hawanaga aibu? Kariakoo hapo inakufa,wananchi majalala,, apecha,alolo.
kama chanzo cha biashara hizo zilikuwa pesa za madawa ya kulevya na ukwepaji kodi bandarini ni sawa zikifa.
 
Hizo biashara labda ni zile za vitambulisho vya Tsh 20,000/- Ila tunaona biashara zimefungwa maduka hayafanyi vizuri hata uchangamfu wa miji, watu haupo kama zamani. Kungekuwa na ufunguzi mkubwa wa biashara kama N. Waziri alivyosema basi TRA isingesisitiza watu wasifunge biashara.
Hiyo nayo ni hoja. Tathmini ya thamani za hizo biashara ikoje kwa maana ya ukubwa: ukubwa wa mitaji, idadi ya nafasi za ajira, nk. Kama inahesabu mashine ya kusaga nafaka kuwa ni kiwanda, ukistaajabu ya Musa, utaona ya Firauni!
 
Kweli namuunga mkono kuwa, biashara zilizofungwa ni chache kulinganisha na zilizofunguliwa. OK lakini ajue kuwa, yawezekana zilizofungwa ni zile zilikuwa zinaingiza Trilion na zinzofunguliwa ni za milion. Huoni tofauti?? Hivi kwa uelewa mdogo tu wa waziri hajui kuwa mwanzo ni mgumu??? Tusiumize vichwa, tusubiri muda ndio mwalimu mzuri
Hii aina tofauti na mfanyabiashara aliyefunga biashara kariakoo kisa apati wateja kwa kuwa wafanyabiashara wadogo wadogo watano wapo mbele ya frem yake. Na waziri anasimama na kuutangazia umma kuwa imefungwa biashara moja na zimefunguliwa tano. Hii tunaita sarcasm. Anyway tusubiri
 
Ninachoshangaa anafunga yule mama andanganya na swaum yake hana chembe ya woga.... Kuna watu wafungaji hewa
 
Automatically ajira zimeongezeka karibia mara 9 . Kwa takwimu hizo. Safi sana
 
Ukifinga kiwanda cha mabilioni na kuanzisha vya kushona vyerehani 100 za kuweka viraka na kupinda khanga hapo bila shaka hesabu ya waziri itatimia
 
Ujue mkuu hata kina Kagame na udikteta wao lakini wako makini kukuza na kupromote uchumi maana jeuri ya ulinzi wao ni kutokana na mapato hayo .. Sasa wewe acha huyu kunguru mweusi acheze na uchumi ili muda ujifika pesa zimeanza kuwa tabu ndo wabunge kinyeo watapoelewa nini kinaendelea.

M7 Na PK wale udikteta wao upo kwenye kuwataka wakuachie kiti hakuna Rangi utoacha kuiona,wale ni wajanja awakupewa Leseni Kwa makaratasi waliisotea porini,wanajua kucheza Na akili ukitaka kudumu madarakani usiwasomeshe no watu wako wasiwe Na njaa Na PILI usiguse maslai ya mabeberu watakumwagia misaada hata udikteta wako awatouona,ili ukigusa maslai ya mabeberu Na ukisomesha namba watu wako lzm utaondoka tu madarakani. Ug Rwanda biashara zinaenda wananchi wanapata riziki zao.Shida ya students awafati mafundisho ya walimu wake,anafanya ligi Na yeyeto si beberu si watu wake.Thus yatamtokea puani,amewashika mabeberu mkono thus wanamnyoosha.
 
Tangu awamu ya makinia ipewe leseni hadi sasa ajira zilizoongezeka ni uchuuzi umachinga wa vitu toka China Kwa faida ya uchumi wa China ndio iliyoongexeka.Tabrikani biashara rasmi laki 3 yaani ofisi zimefirisika sababu ya sera za kimasikini za Kusomesha watu no ili waishi kama mashetani,hizi zimehusu sekta zote kuanzia Kilimo,viwandani,maduka ya pesa,mahoteli,ujenzi,malori,mabus,biashara za mabenki usafirishaji utoaji huduma nk sababu ya kodi komozi.Hivo tabribani watu million 3 hawana ajira sekta binafsi.Hawa ndio walikuwa wachangiaji wakubwa wa mapato ya kodi tokana Na mishahara, mifuko ya jamii,kodi za halmashauri,taasisi zingine mfano Sumatra,TFDA,Leseni ya udereva, Na Tozo mbalimbali.Hivo nadharia ya Kusomesha watu no ni kupungua idadi ya walipa kodi.At the end aliyesomesha watu no ndie aisomae Kwa sasa,maana Kanuni ya no ni wote lzm muisome.Sie zamu yetu tulimalixa kuisoma wamechukua kila kitu hatuna tena uwezo wa kulipa kodi tumefirisika nao hawana vyanzo vya kodi baada ya sie kufirisika,tegemeo lao kuu ni kupata kodi toka barabarani askari wamekuwa sawa Na watoza ushuru. Uchumi sio kemia kila MTU angebaki kwenye fani yake tusingefika huku
 
M7 Na PK wale udikteta wao upo kwenye kuwataka wakuachie kiti hakuna Rangi utoacha kuiona,wale ni wajanja awakupewa Leseni Kwa makaratasi waliisotea porini,wanajua kucheza Na akili ukitaka kudumu madarakani usiwasomeshe no watu wako wasiwe Na njaa Na PILI usiguse maslai ya mabeberu watakumwagia misaada hata udikteta wako awatouona,ili ukigusa maslai ya mabeberu Na ukisomesha namba watu wako lzm utaondoka tu madarakani. Ug Rwanda biashara zinaenda wananchi wanapata riziki zao.Shida ya students awafati mafundisho ya walimu wake,anafanya ligi Na yeyeto si beberu si watu wake.Thus yatamtokea puani,amewashika mabeberu mkono thus wanamnyoosha.
Kabisa mkuu hasomi harama za nyakati sasa we muache atakubali show.
 
Safi sana serikali - mwendokasi huo ni balaa
Ila huku vilio vimetawala - fedha zimekata kbs
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom