The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,181
- 13,593
Achana na huyu mmk anacommet hivi eti kukomoa chademaTuache habari zenu za takwimu! Je nikikuonyesha maduka 100 yaliyofungwa kwenye mtaa mmoja je wewe Utaweza kunionyesha biashara 200 zilizofunguliwa kwenye mtaa huo huo? Sasa hivi kwa maneno kama haya ndiyo nimeamini Haki ya Mungu kuwa kumbe ni kweli kabisa kuwa huwa mnatuona sisi ni wapumbavu!!! Na kwa hili roho inaniuma kweli! Hapa mtaani ninapoishi palikuwa na maduka sita! Sasa hivi yamebaki mawili tu,nna moja nalo linapumulia mrija!! Hakuna duka jipya lililofunguliwa hapa zaidi ya kiji saloon kidogo cha kunyolea kwenye kibanda ambacho awali kilikuwa stationary na ikafungwa pia!! Halafu we mzee si ulishahama nchi? Mbona unawasaidia watesaji wa ndugu zako?huna hata binamu aliyebaki Tanzania mzee wetu? Au wewe wanakupa nini? Basi tu! Tunamwachia Mungu