HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,429
- 94,716
Asante kwa kutupa mrejesho ya ulichofanyiwaMshahara wa shida na wanatobolewa jicho la 3
Asante kwa kutupa mrejesho ya ulichofanyiwaMshahara wa shida na wanatobolewa jicho la 3
Tatizo si serikali bali umasikiniSerikali na Bunge vilishapitisha azimio kwamba wadada na wakaka wa kazi walipewe kima cha chini elfu 80 kwa mwezi
Je na waofanya kazi kwa Waswahili wana raha? Umeona hali yao wanavyotumikishwa masaa 24 na kisha kugeuzwa vimada? Acheni ubaguzi wa rangiKufanya kazi kwa mhindi, mwarabu ni utumwa tosha
OhAsante kwa kutupa mrejesho ya ulichofanyiwa
Uzuri akiacha wengine wanakujaWahindi ukisaini mkataba nao umekwisha,unaweza kuwa ni machine operator ukashangaa siku kazi hamna au umemaliza mapema ukachukuliwa ukapelekwa kweny kubeba mizigo qu kufagia.
Kuna msela alikuwa dereva wa gari ya muhindi anakuambia siku nyingine anatakiwa kuliosha gari na kuna siku anaambiwa akasafishe store .
Umesoma ulichokiandika hapa kabla hujaki-post?nadhani kuna umuhimu wa kutafakari kabla hujatamka kitu.Kwani ni lazima kuajiriwa, wanashindwaje kujiajiri baada ya kupokea mshahara?
Mshahara wa shida na wanatobolewa jicho la 3
Mshahara wa shida na wanatobolewa jicho la 3
30,000 na kipigoWanaofanya kwa waswahili maslahi yao yakoje? Ni wangapi wanapata mshahara wa laki moja tu kwa mfano?
Na kanji bado atasema hii mtu vivu sana shindwa fanya kazi humu, kaa kaa tuMimi pia najua jamaa driver lakini siku nyingine mpaka vyombo ndani anaosha.... Gengeni anaenda yani hamna kazi maarumu ni mvurugano
😅😅😅Mimi pia najua jamaa driver lakini siku nyingine mpaka vyombo ndani anaosha.... Gengeni anaenda yani hamna kazi maarumu ni mvurugano
Nyani haoni kundule 🤣🤣🤣Wanaofanya kwa waswahili maslahi yao yakoje? Ni wangapi wanapata mshahara wa laki moja tu kwa mfano?