Serikali angalieni kwa jicho la huruma Dada zetu wanaofanya kazi kwa Wahindi

Lamzettttt

JF-Expert Member
May 28, 2020
1,031
3,123
Salaam

Kama ilivyo ada mimi ni muuza mboga mboga mjini pale Dar es Salaam nikiwa na tenga langu kichwani asubuhi tu nipo nazunguka mitaa ya mjini pale Posta, Upanga yote asubuhi, huwa naumia roho sana ninapoona mazingira na hali ambazo wanakuwa nazo dada zetu wa Kitanzania katika nchi yao ni kama vile wapo Ughaibuni.

Kazi zao ni ngumu, mshahara ni mdogo lakini watafanyaje tu vile wanaishia kukomaa tu na kutoa malalamiko yao kwa sisi wauza mboga asubuhi tunapowapelekea.

Hebu serikali kupitia Wizara ya Kazi kama ipo angalieni raia wenu hawa fuatilieni maendeleo yao kwa kweli hawana wa kuwasema ni kama vile wapo nchi ambayo sio yao.

Kazi wafanyazo hazina mikataba, mshahara ni mdogo, hawana bima yoyote, wanaachishwa kazi kiajabu ajabu, hamna mafao, kiinua mgongo wala nauli pindi waachishwapo kazi, nao ni wananchi wenu, viongozi tuonesheni umoja basi.
 
Serikali na Bunge vilishapitisha azimio kwamba wadada na wakaka wa kazi walipewe kima cha chini elfu 80 kwa mwezi
 
Wahindi ukisaini mkataba nao umekwisha,unaweza kuwa ni machine operator ukashangaa siku kazi hamna au umemaliza mapema ukachukuliwa ukapelekwa kweny kubeba mizigo qu kufagia.

Kuna msela alikuwa dereva wa gari ya muhindi anakuambia siku nyingine anatakiwa kuliosha gari na kuna siku anaambiwa akasafishe store .
 
Salaam

Kama ilivyo ada mimi ni muuza mboga mboga mjini pale Dar es Salaam nikiwa na tenga langu kichwani asubuh tu nipo nazunguka mitaa ya mjini pale posta, upanga yote asubuhi.

Lakini hua naumia roho sana napoona mazingira na hali ambazo wanakua nazo dada zetu wa kitanzania katika nchi yao ni kama vile wapo ughaibuni.

Kazi zao ni ngumu mshahara ni mdogo lakini watafanyaje tu vile wanaishia kukomaa tu na kutoa malalamiko yao kwa sisi wauza mboga asubuhi tunapowapelekea.

Hebu serikali kupitia wizara ya kazi kama ipo angalieni raia wenu hawa fuatilieni maendeleo yao kwa kweli hawana wa kuwasema ni kama vile wapo nchi ambayo sio yao.

Kazi wafanyazo hazina mikataba , mshara ni mdogo hawana bima yoyote wanaachishwa kazi kiajabu ajabu hamna mafao kiinua mgongo wala nauli pindipo waacishwapo nao ni wananchi wenu viongozi tuonesheni umoja basi.
Wako bery royal wenyewe na brain washed hadi huruma unakuta yuko pale miaka zaidi 10....hatokiiiii pale..wewe ndio unachanganyikiwa
 
Wahindi ukisaini mkataba nao umekwisha,unaweza kuwa ni machine operator ukashangaa siku kazi hamna au umemaliza mapema ukachukuliwa ukapelekwa kweny kubeba mizigo qu kufagia.

Kuna msela alikuwa dereva wa gari ya muhindi anakuambia siku nyingine anatakiwa kuliosha gari na kuna siku anaambiwa akasafishe store .
Mimi pia najua jamaa driver lakini siku nyingine mpaka vyombo ndani anaosha.... Gengeni anaenda yani hamna kazi maarumu ni mvurugano
 
Salaam

Kama ilivyo ada mimi ni muuza mboga mboga mjini pale Dar es Salaam nikiwa na tenga langu kichwani asubuh tu nipo nazunguka mitaa ya mjini pale posta, upanga yote asubuhi.

Lakini hua naumia roho sana napoona mazingira na hali ambazo wanakua nazo dada zetu wa kitanzania katika nchi yao ni kama vile wapo ughaibuni.

Kazi zao ni ngumu mshahara ni mdogo lakini watafanyaje tu vile wanaishia kukomaa tu na kutoa malalamiko yao kwa sisi wauza mboga asubuhi tunapowapelekea.

Hebu serikali kupitia wizara ya kazi kama ipo angalieni raia wenu hawa fuatilieni maendeleo yao kwa kweli hawana wa kuwasema ni kama vile wapo nchi ambayo sio yao.

Kazi wafanyazo hazina mikataba , mshara ni mdogo hawana bima yoyote wanaachishwa kazi kiajabu ajabu hamna mafao kiinua mgongo wala nauli pindipo waacishwapo nao ni wananchi wenu viongozi tuonesheni umoja basi.
Umewahi kuwashauri waache kazi waungane na wewe muuze mboga kama zinalipa?
 
Tuseme ukweli,ni watanzania wangapi mahouse girl na wasio house girls wenye bima?
Mzigo wa serikali tusiwatwishe wahindi, Wamachinga na boda boda wana bima?
kiukweli bila serikali kutengeneza mazingira ya kuwa na ajira za uhakika,mambo kama haya huwezi kuyaepuka.
Utakuta huyo unayemsemea,ana mtoto msomi nyumbani anategemea kula mshahara huo wa manyanyaso.
 
Sijawah kwakwel.
Siku moja jaribu kuwashauri uone kama watakubali.
Kukaa nyumbani bila chochote cha kufanya ni heri ukaingize kipato kwa bei ya chini.
Siku tukiwa na viwanda vya kununua mazao ya wakulima kwa bei nzuri,hutaona kundi kubwa la watu waliotayari
kufanya kazi kwa mshahara kidogo wakati mapori ya kulima ni mengi nchi hii.
 
Salaam

Kama ilivyo ada mimi ni muuza mboga mboga mjini pale Dar es Salaam nikiwa na tenga langu kichwani asubuh tu nipo nazunguka mitaa ya mjini pale posta, upanga yote asubuhi.

Lakini hua naumia roho sana napoona mazingira na hali ambazo wanakua nazo dada zetu wa kitanzania katika nchi yao ni kama vile wapo ughaibuni.

Kazi zao ni ngumu mshahara ni mdogo lakini watafanyaje tu vile wanaishia kukomaa tu na kutoa malalamiko yao kwa sisi wauza mboga asubuhi tunapowapelekea.

Hebu serikali kupitia wizara ya kazi kama ipo angalieni raia wenu hawa fuatilieni maendeleo yao kwa kweli hawana wa kuwasema ni kama vile wapo nchi ambayo sio yao.

Kazi wafanyazo hazina mikataba , mshara ni mdogo hawana bima yoyote wanaachishwa kazi kiajabu ajabu hamna mafao kiinua mgongo wala nauli pindipo waacishwapo nao ni wananchi wenu viongozi tuonesheni umoja basi.
Robo ya mshahara wanalipwa wao na robotatu iliyobaki inalipwa CCM ili isiwasikilize.
 
Back
Top Bottom