Ushauri wa bure kwa serikali,
Ndege nyingi za mashirika ya Uarabuni zimepaki na zinakula hasara kutokana na vita vinavyoendelea, kwa nini msiondoe kodi zenu zenye utitiri mwingi na transit visa fees kisha kualika makampuni haya yaweke hub ya muda hapa Julius Nyerere International Airport?
Tuna airport kubwa ambayo ipo empty muda mwingi na ina capacity kubwa, Hizo airline zina loyal customers wengi duniani, wakifanya hapa kituo cha transit watalii wataongezeka na itasaidia kumitigate kupanda kwa thamani ya dola nchini.
Emirates inaenda nchi karibu zote Africa na kuweka transit Tanzania kata kwa ajili ya Africa pekee itaongeza sana recognition ya nchi na utalii kiujumla.
Cha muhimu ondoeni tozo zenu nyingi kwa abiria zinazofanya usafiri wa anga uwe kama anasa katika nchi hii. Jaribuni kufikiria kibiashara hata kidogo muone opportunities zipo nyinhi kwenye crisis kama hizi.
Kwa wanaosema kwa nini tu tusipromote Air Tanzania? Kwanza ndege bado ni chache na customer base bado ni ndogo, gharama kubwa na matatizo mengi ya airline yetu, lakini kuja kwa airline nyengine kutazidisha safari za ndani na kuongeza brand recongition ya flag carrier yetu.
Anyways ni mawazo tu mnaweza kuamua kutofanya kitu na mwisho wa mwezi mishahara inaingoa tu kwa kuwa wafanyakazi wa serikali.
Tanzania bara mkishindwa basi Zanzibar fanyeni maana nyinyi ndo angalua mpo serious na maendeleo kipindi hiki
Ndege nyingi za mashirika ya Uarabuni zimepaki na zinakula hasara kutokana na vita vinavyoendelea, kwa nini msiondoe kodi zenu zenye utitiri mwingi na transit visa fees kisha kualika makampuni haya yaweke hub ya muda hapa Julius Nyerere International Airport?
Tuna airport kubwa ambayo ipo empty muda mwingi na ina capacity kubwa, Hizo airline zina loyal customers wengi duniani, wakifanya hapa kituo cha transit watalii wataongezeka na itasaidia kumitigate kupanda kwa thamani ya dola nchini.
Emirates inaenda nchi karibu zote Africa na kuweka transit Tanzania kata kwa ajili ya Africa pekee itaongeza sana recognition ya nchi na utalii kiujumla.
Cha muhimu ondoeni tozo zenu nyingi kwa abiria zinazofanya usafiri wa anga uwe kama anasa katika nchi hii. Jaribuni kufikiria kibiashara hata kidogo muone opportunities zipo nyinhi kwenye crisis kama hizi.
Kwa wanaosema kwa nini tu tusipromote Air Tanzania? Kwanza ndege bado ni chache na customer base bado ni ndogo, gharama kubwa na matatizo mengi ya airline yetu, lakini kuja kwa airline nyengine kutazidisha safari za ndani na kuongeza brand recongition ya flag carrier yetu.
Anyways ni mawazo tu mnaweza kuamua kutofanya kitu na mwisho wa mwezi mishahara inaingoa tu kwa kuwa wafanyakazi wa serikali.
Tanzania bara mkishindwa basi Zanzibar fanyeni maana nyinyi ndo angalua mpo serious na maendeleo kipindi hiki