The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,135
- 116,029
HatutakiUzalendo ni kutekeleza kile ambacho wananchi walikipendeza katika tume ya Warioba mfumo wa sekari 3 huo ndio uzalendo
Hata Zanzibar hawataki..
Kama ni Kuvunja Muungano tuuvunje Tu ... tusitumie serikali tatu kama kichaka