Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,912
- 12,989
Alafu kitu kingine hii issue ya kwenda kuiba kwenye huu mjengo haikuwa ya professor ndo maan mamb yao mengi yalifeli huu ulikua mpango wa berlinlabda kama nilielewa vibaya kwenye plan ya Berlin alisema gavana ni mtu mbishi sana sio mtu anayeweza kukupa ushirikiano kirahisi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app