chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,568
Game of thrones sasa imekuwa too much kila actor anaeonyesha Kupendwa anakufa season 5 imeisha vibaya
Sijui kwann mm siamini kama john snow will die.....someone will certainly find him and he will be healed.
More surprisingly the person to find him will be a wilding.
This is the good thing abt author Martin...
Imenikumbusha ile the rain of castemelle alipouliwa Rob Stark na mama yake...
Stark family ni noble n very innocent ila wao ndio victim all the time...starting with Ned,katly,Rob,bran n now the bastard son Jon snow hata yule Greyjoy anasafa coz of Stark family.
Watu wengi wanaamini na wanajua watu wanyonge na wapenda haki ndio wanaoibukaga washindi katika movie nyingi na hadith but mwandishi Martin amejaribu kwenda against na hiyo dhana
Mie tokea Ned Stark rafiki wa Mad king Robert Berathion auliwe na king joffrey pia King of the North Rob Stark nae auliwe now najua mtu yeyote anaweza kufa huko westereus..
Bran hajafa....ye na mdogo wake bado wanaishi wapo kwa three eyed crow
Game of Thrones imefika patamu, siachi kuiangalia
Ila wanakera eti kila mwaka(miezi 3) season moja.kitu tamu hivi wanaonjesha onjesha!
Game of thrones sasa imekuwa too much kila actor anaeonyesha Kupendwa anakufa season 5 imeisha vibaya
Samwel tally kama alijua vile kajiondokea na kidemu chake...
Jon Snow ndio mwisho wake pale na Stark family, wao tatizo lao hawapendi kufaata miiko na utaratibu coz huwezi kuwakalibisha maadui zako wa kizazi na kizazi....na wale hawapo kabisa katika seven kingdom
Kweli Bran hajafa yupo kwa huyo three eyed but character yake ndio imeshatolewa kidesign flan ndio maana hata kwenye S05 hajaonekana....
Pia nmejaribu kufatilia kwenye muendelezo wa vitabu A dance with dragons na A feast for crows ambavyo vimekuwa adapted to S05 na S06 kwa kuvichanganya sijaona character ya Bran hata kwenye hivyo vitabu na mashowrunner wakina David Benioff na Wess wamesajest Bran hasiwepo katika hali ya kupunguza utitiri wa mactor coz ni show ambayo inaongoza kwa kuwa na actors wengi na location tofauti.
Sijajua bado akili ya Mwandishi Martin maana bado anaendelea kuviandika vitabu hivi ila inavyoonekana kama Ilivo kwa mother of dragon ndio the last Targerien na yule Theon Greyjoy ndio the last Greyjoy pia inawezekana na the Stark family nayo anaipoteza kidesign coz hata Sansa mwenyewe yupo tu kwasababu mashowrunner wakina David Benioff na Weiss wamemtaka kutokana na umahili wake katika uigizaji so hawakutaka kuiua character yake...pia ebu angalia kule Arya alipotupwa hakuna uhusiano kabisa...
Kuna noble family nyingi zimeonekana zinapotea hata hao the lannister si umeona wanavyopukutika ....
I LOVE THIS SHOW
Tyrant.....(I love you my brother Bassam)-in President Jamal Voice
Power....(Ill be the biggest goddamn drug dealer in New York City)...Ghost
Tafuta series ya Empire na The tomorrow people ni shida.
Any one with soft copy of season 4 game of throne plz