OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Nmeshangaa sana mzee baba kuwepo tena wakati mwishon mwa season two sunny alimmaliza hasa baada ya mke wake kuuliwa.
Hii kitu nimeshangaaa lakini nimecheki o2tvseries zipo ep 01 na 02Itaanza Aprili 30,hizo episodes umepakua wapi?View attachment 1065935
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona mkuu.....nimeipata piratebayHii kitu nimeshangaaa lakini nimecheki o2tvseries zipo ep 01 na 02
Sent using Jamii Forums mobile app
Itaanza Aprili 30,hizo episodes umepakua wapi?View attachment 1065935
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan imeendelea.. Mi niliishia ep ya 06..Kuna nyingine ya British intelligency inaitwa BODYGUARD japo sio kali sana ila it worth to watch
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao walitaka wasifanye kazi tena sio wao tu mpk vitukuu....Mzee pale walichukua euro mil 900+ ambazo walikua 9.
Ukigawa mil 100 kila mtu ni nusu ya utajiri wa messi..
Hizo hazitoshi tu..?
Labda kama wakiamua kurefusha story tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingobernablewadau anayefahamu best political tv series kama house of cards na best psychological series kama Hannibal naomba anipendekezee hapa.
Una link yake mkuuWazee wa LA CASA DE PAPEL,na movie za aina hio,kuna hii mambo inaitwa THE KILL POINT,ya mwaka 2007.
Kutana na mtaalaam John Leguizamo kama MR WOLF(robbers wanatumia majina ya wanyama),utamkumbuka katika JOHN WICK kama Aurelio,veteran wa Iraq war,akiwa na wahuni wenzake katika harakati za kukwapua mipunga benk.Believe me,It is worth watchingππππ
Mkuu una link yake
Ipo ya 3 mkuuMwenye season 3, 4 na 5 ya Queen of the south... naomba please kama zimetoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga mtupu.. Nimeshindwa kuendeleaHANNA hakuna kitu aisee,wasambazaji wake nahisi walishitukia mapema,baada ya kuachia epsode moja,wakaona wasikilizie waje waachie vipande vyote,,watu tukomae na matango pori!!