Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,903
- 9,915
Mkuu Vincenzo Jr , hivi FROM imeishia wapi vile? Mimi nimeishia pale Fatima anazaa. Imeendelea zaidi ya pale? Nijibu mkuukalii sana hiyo ndugu yangu
ndio ndugu yangu na fatima aisee si kamzaa smile pale ndugu yangu ni hatari sanaMkuu Vincenzo Jr , hivi FROM imeishia wapi vile? Mimi nimeishia pale Fatima anazaa. Imeendelea zaidi ya pale? Nijibu mkuu
Ndio walipoishia aundio ndugu yangu na fatima aisee si kamzaa smile pale ndugu yangu ni hatari sana
ndio na huyu jamaa kafariki na smile kazaliwaNdio walipoishia au
Muendelezo wanatoa lini mkuu Vincenzo Jrndio na huyu jamaa kafariki na smile kazaliwaView attachment 3190243View attachment 3190242
2026Muendelezo wanatoa lini mkuu Vincenzo Jr
Hivi, niliskia watu kuwa Apocalypto 2 imetoka ni kweli mkuu...?2025, the year of:
• GTA 6
• Avatar 3
• Andor S2
• Superman
• Zootopia 2
• Fantastic Four
• Ghost of Yōtei
• Wednesday S2
• Squid Game S3
• The Last of Us S2
• Wicked: For Good
• A Minecraft Movie
• Death Stranding 2
• Stranger Things S5
• Daredevil: Born Again
Sio kweli nduguHivi, niliskia watu kuwa Apocalypto 2 imetoka ni kweli mkuu...?
Kuna wadau wanasema squid game s2 wamezingua.. Wewe kwa upande wako unaionaje.?Netflix accidentally reveals that the final season of ‘SQUID GAME’ releases on June 27.
Cc Carleen Mr Q
View attachment 3190438View attachment 3190439
Ipo gudi labda wamezingua kuleta EP chache tulizani tutapewa EP 10 mkuuKuna wadau wanasema squid game s2 wamezingua.. Wewe kwa upande wako unaionaje.?
Sio kuna wanao sema. Hata mimi ni mmoja wao. Season 1 ilikuwa bomba sana zaidi ya hii ya pili. Nani moyo wale haukwenda mbio kwenye ule mchezo wa kuruka juu ya vioo?? Kioo kimoja kigumu kingine laini. Sasa hii season2 haluna mchezo ambao umesababisha mapigo ya moyo yaende mbioKuna wadau wanasema squid game s2 wamezingua.. Wewe kwa upande wako unaionaje.?
Yamoto sana 🔥🔥Wazee nimemaliza SQUID GAME So2. Kwa kweli nime - enjoy hii series. Wacha tusubirie So3.
Lesbian😅😅Walivyokufa hadi mke wangu alilia 😀😃😃
View attachment 3190463
FROM haina matusi ni family series sema tu inatisha sidhani kama ni nzuri kwa afya ya akili ya watotoHaina matusi hii mkuu...?
Inaitwaje hii?Walivyokufa hadi mke wangu alilia 😀😃😃
View attachment 3190463