Serie A ndani ya dikoda ya Canal+ sport

Super Saturday
FB_IMG_1566643001303.jpeg
 
canal hawana lesen Tanzania...wao wanarusha matangazo yao kwa nchi zinazoongea kifaransa tu
Naomba kuuliza, mbona Zanzibar wameunganisha channel za CANAL kwenye Cable TV zao na wanaonyesha mpira kupitia hizo channel kwa malipo ya sh. Elfu kumi tu kwa mwezi. Kwanini na Tanzania Bara kusiwe na Cable TV kama hizo waunganishe CANAL watu wapate burudani ya soka kwa gharama nafuu kama Zenji?
 
Naomba kuuliza, mbona Zanzibar wameunganisha channel za CANAL kwenye Cable TV zao na wanaonyesha mpira kupitia hizo channel kwa malipo ya sh. Elfu kumi tu kwa mwezi. Kwanini na Tanzania Bara kusiwe na Cable TV kama hizo waunganishe CANAL watu wapate burudani ya soka kwa gharama nafuu kama Zenji?
Cable kwanza ni wizi .
Alafu mbona bara ipo sana tu hasa mikoani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom