Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,612
- 10,664
Mkuu nimetoa tu uhalisia wa hiki kisimbusiKwahiyo unapendekeza nini mkuu?
Kwa habari ya michezo nadhani kinafaa sana kama hutajali kelele za lugha ya kifaransa
Mkuu nimetoa tu uhalisia wa hiki kisimbusiKwahiyo unapendekeza nini mkuu?
Baada ya Dstv kusema hataonyesha Europ League, nimeamua kuagiza dikoda yangu ya Canal ambayo j5 itakuwa inanifikia kutoka Kigoma.
Jamaa ameniuzia kwa 150,000 sijui amenila au lah? All in all, nitafaidi maana jamaa ninae fanya naye kazi huu ni mwaka na nusu anakula burudani kwa bei rahisi.
Sio photoshop hii?Imevuja toka juzi kabla wao hawajatangaza
HaaaaNgoja nikitafute hawa dstv wanatunyonya tu hawana ishu
Sio photoshop hii?
Kwanza King'amuzi Chao cha SD muonekane wake ni sawa na HD kwa Ving'amuzi vingine. Ukigusa HD yao ndio balaa Kubwa.Watu wengine ni wakurupukaji tu, ni wa kumpuuza
Mwaka wa4 huu natumia Canal+ bei ni hiyo hiyo. Pia Kwa wale Wapenzi wa pilau ikilipia Premium yao kuna pilau nyingi tena zinapikwa live kabisa ukiziona.Hiyo elf 40 huko mbeleni haitakuja kupanda bei? Usikute pengine ni bei ya kuvutia wateja wakishapatikana basi kinapaa hadi lak 1 na mgawanyo kibao mara compact+,premeum n.k
Endelea kuishi kwa kukaririHiki kisimbusi kwa bongo ni ujanja ujanja tu, hakina vibali vya kufanya kazi tz.....ni kosa kisheria kukimiliki
Hakuna njia ya malipo ya kibongo, ili kulipia inabidi mtu aende nchi yenye kibali kama congo kisha alipie huko kwa hela za congo
Hapa sasa ndio kuna ma middle man
Kisimbusi hiki ni kwaajili ya watu wanaotumia lugha ya kifaransa, hivyo chaneli karibia zote lugha ni kifaransa, sahau kukuta tbc citizen nk
Ukipata shida yoyote sahau kuhusu huduma kwa wateja ulio izoea kwa dstv azam nk
Ni kweli kwamba utafaidi zaidi chaneli za footbal za ligi karibu zote kubwa lakini kwa lugha ya kifaransa
Ukiondoa michezo chaneli zingine zilizobakia ni shida.....full kifaransa na chaneli chache sana za kiingereza
Naona wameona waende sambamba na ving'amuzi vya ndani.Wanyonge wa kifurushi cha bomba wameachwa wapambane na hali yao.
Hahah niliwahi kua na Azam Tv miaka ya nyuma nikaenda kule kwny other channels kulikua na frequency wana JF walikua wanazitoa uki add unapata free channels,nikapata 1 hio inaitwa Hustler Tv daah 24/7 ni pilau tu ilibidi niitoe tu tu aisee.Mwaka wa4 huu natumia Canal+ bei ni hiyo hiyo. Pia Kwa wale Wapenzi wa pilau ikilipia Premium yao kuna pilau nyingi tena zinapikwa live kabisa ukiziona.
Mkuu you're better than thatEndelea kuishi kwa kukariri
Ntajiunga soon kwny canal hapo maana mi ugonjwa wangu ni movies,mpira ni mpk niukute unaonyeshwa la sivyo sinaga hata ratiba.Naona wameona waende sambamba na ving'amuzi vya ndani.
Wanyonge wa kifurushi cha bomba wameachwa wapambane na hali yao.
Hali ngumu mkuu.,wanyonge watakomaa na kifurushi chao cha bibi bomba tu.Nafikiri wanataka kuwa discourages wasitumie bomba wahamie kwenye family
Hahaha umeamua uwavute zaidiMwaka wa4 huu natumia Canal+ bei ni hiyo hiyo. Pia Kwa wale Wapenzi wa pilau ikilipia Premium yao kuna pilau nyingi tena zinapikwa live kabisa ukiziona.
Kitu usichokifahamu usikipigie zengwe.Mkuu you're better than that
Kama unadhani kuna mahali nimekosea unajadili tu kistaarabu sababu watu wameuliza wanataka kujua zaidi kuhusu hiki kisimbusi
Fafanua uhalisi mkuu haitoshi kusema nakariri maisha
Hali ngumu mkuu.,wanyonge watakomaa na kifurushi chao cha bibi bomba tu.
HahahahahaHahaha umeamua uwavute zaidi
Ntajiunga soon kwny canal hapo maana mi ugonjwa wangu ni movies,mpira ni mpk niukute unaonyeshwa la sivyo sinaga hata ratiba.
Huku S/Sport wanatuchagi parefu halafu hamna kitu,sana sana nitamiss labda channel ya bbc brit kipindi cha top gear.