Serie A ndani ya dikoda ya Canal+ sport

Bei ya receiver ni 150k, inakuja na kifurushi cha bure kwa mwezi mmoja.

Malipo ni mwezi mmoja mmoja tu.

Malipo ya mwezi ya vifurushi vya mpira ni 40k.
Inavutia, isipokuwa swali la package ipi unapata kwa malipo ya 40,000/= hujanijibu...

Maana kwa mujibu wa website yao, jamaa wana packages kama;

All Canal+ inakuwa na channels 224
Evasion+ inakuwa na channels 207
Access+ channels 169
Essential+ channels 130
Evasion channels 184
Access channels 150
 
Baada ya Dstv kusema hataonyesha Europ League, nimeamua kuagiza dikoda yangu ya Canal ambayo j5 itakuwa inanifikia kutoka Kigoma.
Jamaa ameniuzia kwa 150,000 sijui amenila au lah? All in all, nitafaidi maana jamaa ninae fanya naye kazi huu ni mwaka na nusu anakula burudani kwa bei rahisi.
Utakuwa shabiki wa Manchester united au arsenal
 
Inavutia, isipokuwa swali la package ipi unapata kwa malipo ya 40,000/= hujanijibu...

Maana kwa mujibu wa website yao, jamaa wana packages kama;

All Canal+ inakuwa na channels 224
Evasion+ inakuwa na channels 207
Access+ channels 169
Essential+ channels 130
Evasion channels 184
Access channels 150
Essential+
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom