king herode
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 368
- 566
Uzur wa canal premium yao ni 85000 tu kuna channel nyng za kiingereza package yao hii wazee
Wananjia mbili awa jamaaaUzur wa canal premium yao ni 85000 tu kuna channel nyng za kiingereza package yao hii wazee
Iv dishi lao alizingui mawimbiMwaka wa4 huu natumia Canal+ bei ni hiyo hiyo. Pia Kwa wale Wapenzi wa pilau ikilipia Premium yao kuna pilau nyingi tena zinapikwa live kabisa ukiziona.
Lipo Safi tuu ili mradi umpate fundi mzuriIv dishi lao alizingui mawimbi
Lipo Safi tuu ili mradi umpate fundi mzuri
Hii ishu ni kweli mkuu, nimeconfirm!Kuanzia september 1 wanakuja na punguzo hilo wameona tunakimbiaView attachment 1181097
Bei ya receiver ni 150k, inakuja na kifurushi cha bure kwa mwezi mmoja.40,000 kwa mwezi ni package gani maana wana packages nyingi?
Na bei ya receiver yao pasipo dish ni kiasi gani?
Unaweza ukalipia mwaka mzima?
Hii ishu ni kweli mkuu, nimeconfirm!
Mm nlishaongea na jamaa yangu anafanya pale akaniambia ni kweli ila issue imeleak kabla hawajatangaza
Inavutia, isipokuwa swali la package ipi unapata kwa malipo ya 40,000/= hujanijibu...Bei ya receiver ni 150k, inakuja na kifurushi cha bure kwa mwezi mmoja.
Malipo ni mwezi mmoja mmoja tu.
Malipo ya mwezi ya vifurushi vya mpira ni 40k.
Utakuwa shabiki wa Manchester united au arsenalBaada ya Dstv kusema hataonyesha Europ League, nimeamua kuagiza dikoda yangu ya Canal ambayo j5 itakuwa inanifikia kutoka Kigoma.
Jamaa ameniuzia kwa 150,000 sijui amenila au lah? All in all, nitafaidi maana jamaa ninae fanya naye kazi huu ni mwaka na nusu anakula burudani kwa bei rahisi.
Essential+Inavutia, isipokuwa swali la package ipi unapata kwa malipo ya 40,000/= hujanijibu...
Maana kwa mujibu wa website yao, jamaa wana packages kama;
All Canal+ inakuwa na channels 224
Evasion+ inakuwa na channels 207
Access+ channels 169
Essential+ channels 130
Evasion channels 184
Access channels 150
Watu wameanza kumininika. Hofu yangu kuna baadhi ya chaneli watazihamishia kifurushi cha juuSasa hivi wameshatangaza officially
Sawa mkuu...Mm nlishaongea na jamaa yangu anafanya pale akaniambia ni kweli ila issue imeleak kabla hawajatangaza
Receiver ya HD full package na dish lake mi 150,000, receiver tupu ni 100,000. Kulipia kwa mwaka unaweza40,000 kwa mwezi ni package gani maana wana packages nyingi?
Na bei ya receiver yao pasipo dish ni kiasi gani?
Unaweza ukalipia mwaka mzima?
Receiver ya HD full package na dish lake mi 150,000, receiver tupu ni 100,000. Kulipia kwa mwaka unaweza
Watu wameanza kumininika. Hofu yangu kuna baadhi ya chaneli watazihamishia kifurushi cha juu
Essential+
Kwanini mkuu?Utakuwa shabiki wa Manchester united au arsenal