jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Ningumu sana maana cheetah niwapole sanaMzee huyo chui sijui chita hawezi rarua mtu hapo
KabisaCheatah a.k.a Duma wanazoea Watu kirahisi sana, tatizo ni Chui bana.
HahahaaaaDereva hana habari ya abiria wa ziada, angefahamu pichu ingia a ghafla
atakusupriseCheatah a.k.a Duma wanazoea Watu kirahisi sana, tatizo ni Chui bana.
Na ujue kuwatofautisha, maana leo unacheka na Duma, kesho anakuja Chui unaanza tena kukenua ukidhani ni yule wa jana, ata kusuprise.
Hebu ndugu zangu mwenye picha atofautishe kati ya hawa wanyama yaani mimi hata huwa sijui chui ni nani na Duma ni yupi.
Maelezo yameshibaNjia rahisi zaidi ya kuwatofautisha ni maumbo, Duma mwembaba mrefu ili hali Chui mfupi na ameshiba.
Duma hukakaa sana hadharani wakati jamaa yule ni mzee wa chimbo sana, Wazungu wanatumia neno "shy"...kwa hiyo ukikatiza porini ukamuona jamaa yupo juu ya kichuguu confortable huyo ni Duma.
Chui huishi kipekee pekee, tofauti na Duma huweza kuwakuta wawili, watatu, wanne n.k.
Wala cheetah unapiga naye selfie kabisaLazima kuna mtu alijinyea hapo! That am sure of...
Hahahaaaaaaaa mbona kawaidaHuku ndani ni balaah watu wanaogopa hata kumeza mate