Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,613
Kwani yeye hana hela ?Tuwe positive Serena amefuata hela siyo hayo mambo mengine
Kwani swali lako lisiwe kwamba' hiyo njemba ndio imevutiwa na hela za Serena, na sio hayo mambo mengine?Tuwe positive Serena amefuata hela siyo hayo mambo mengine
Akikujibu hili, uniite aiseeeeKwani yeye hana hela ?
mbona uko negative?Tuwe positive Serena amefuata hela siyo hayo mambo mengine
Mi nahisi atakua ana 40 maana mi nagonga 30 kesho ila wakati nakua alikuwa mkubwa. Nilianza kumuona kwenye Tv wakati nina miaka kumi akiwa anacheza. Lakini all in all hongera kwake. Mwanamke yoyote akipata mme ni jambo la kheriAtakuwa above 35,kwa mwana,ke tayari ni bibi bomba