Hahaaa...usinikumbushe operesheni UKUTA ulivyotokota kila kona afande na guruneti.Polisi wana zuia maandamano tuu kuhusu ujambazi wanajiweka pembeni na wengine yawezekana wanahusika kabisaaa..... Maisha magumu kina kaka jambazi nao hawako nyuma polisi saidieni hii issue shughulikieni kama mnavowashughulia kina Godbless Lema hapo mtaonekana mko vzr
Na police central ni mita 300 toka eneo la tukio na wamefika baada ya nusu saa yaani ni shida tupu
Hauna uthibitisho nadhani umeandika tuUkiangalia wizi huu unavyotokea , timing na mazingira, ni wazi polisi wanahusika
fanya kazi acha uchochezi huu sio wakati wake.Halafu tunamalizia na kibwagizo cha HAPA KAZI TU!!PolenNdani ya wiki moja na siku kazaa matokeo ya ujambazi yana fika matano au manne kama sikosei je walinda usalama hawapo ktk jiji la mwanza