Senzo ni bingwa wa Rege

Senzo ni bingwa wa Rege

Najua utamsema Bob Marley, ni kweli ana ngoma kali nyingi na watu wengi wanaamini ndo mkali wa Rege kupata kutokea, ila kwangu mimi Senzo na Dube nyimbo zao huwa zinanitouch sana, nikisikiliza nyimbo za Dube na Senzo nakuwa na feelings fulani hivi ambayo siipati nikimsikiliza Bob
Sawa chief, ni kawaida watu kutofautiana
 
My current Playlist, naomba mnisaidie kutaja ngoma nyingine kali za Rege, pia kuna mtu anaitwa Alpha Blondy naye namkubali sema ngoma zake Boomplay ziko chache
Screenshot_20210504-225942_1620158579926.jpg
Screenshot_20210504-225949_1620158556315.jpg
Screenshot_20210504-230002_1620158516516.jpg
Screenshot_20210504-230012_1620158488578.jpg
Screenshot_20210504-230020_1620158463717.jpg
 
Ushahidi huo hapo alipata Celebral Malaria

Dah sasa ilikuwaje kukawa na sintofahamu nyingi wakati yeye ni mtu maarufu? Huko nyuma kuna watu walituaminisha aliuliwa na kampani ya Lucky Dude kwavile alikuwa anakuja juu sana[emoji16]
 
Dah sasa ilikuwaje kukawa na sintofahamu nyingi wakati yeye ni mtu maarufu? Huko nyuma kuna watu walituaminisha aliuliwa na kampani ya Lucky Dude kwavile alikuwa anakuja juu sana[emoji16]
Usiwaamini Watu sana Mpwa! The Guy is alive ila alipata celebral Malaria
 
Dah sasa ilikuwaje kukawa na sintofahamu nyingi wakati yeye ni mtu maarufu? Huko nyuma kuna watu walituaminisha aliuliwa na kampani ya Lucky Dude kwavile alikuwa anakuja juu sana[emoji16]

Huo uvumi ulikamata sana watu, wengine wakaenda mbali kwamba Lucky Dube aliona jamaa anakua tishio kwake...
Kitu ambacho sio kweli.

Yuko hai
 
Back
Top Bottom