Sensa ya watu 2012 maandalizi yako wapi?

Sensa ya watu 2012 maandalizi yako wapi?

Duuuuh......wakati kuna wajasiriamali wa ndani wanatengeneza chaki .......daaah hii inji hii!

Na chaki za wajasiriamali wetu zaweza kuwa nzuri kuliko chaki fake za kichina! tehe tehe tehe :A S 465::baby::flypig:
 
Na chaki za wajasiriamali wetu zaweza kuwa nzuri kuliko chaki fake za kichina! tehe tehe tehe :A S 465::baby::flypig:

Kabisa Averos ila wakinunua za ndani watachakachuaje?......yaani ukiifikiria vizuri hii TZ yetu unaweza jikuta unalia kwa sauti mbele za watu lol!
 
Last edited by a moderator:
Ukifuatilia kwa karibu, chaki hizo utakuta zimenunuliwa kwa Mchina mmoja hata kiwanda cha maana hanna, ana mashine ameweka chumbani kwake anatengeneza chaki, chaki zenyewe zinatumika kutick tu mlangoni, hazina matumizi makubwa ya maana! kazi ipo! we acha tu Sweetlady! Ila siku ni nyingi yatakwisha yote haya!
 
Kabisa Averos ila wakinunua za ndani watachakachuaje?......yaani ukiifikiria vizuri hii TZ yetu unaweza jikuta unalia kwa sauti mbele za watu lol!

mi nakwambia hili li-serikali la ccm majambazi/mafisadi hata hayafikirii kwa kutumia akili yalizopewa bure na Muumba. yanatumia vichwa kufugia nywele kama lilivyojisifia lile kubwa lao la sheria lile li mura-werema. nadhani yanatumia masaburi kufikiria badala ya kuyatumia kukalia. yapo addicted na nje, everythung nje, nje, nje!!!! hivi hao wa nje wao huwa wanatoa wapi??? badala ya kuimarisha viwanda vidogo vidogo vya ndani, menyewe yamekalia kuwatukuza wa nje tu, ili yachakachue pesa zetu walipa kodi. halafu hivyohivyo viwanda vya ndani ndo vinalipa kodi na menyewe yanajineemesha kwa kuishi maisha ya peponi yakiwa hapahapa duniani.


Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waling'oe madarakani hili li-serikali la ccm MAONGO/MAFISADI/MAJAMBAZI/WAUAJI.
 
Mh hatujiamini, hiyo tenda ya vifaa ingeishia hapa hapa ndani ya nchi kuna maeneo yangenifaika kuliko kuwanufaisha wa nje.. Mbona chaki za walimu hawaagizi nje?
 
pengine ndio lilikuwa sharti la serikali ya china kwa msaada wao
 
mi nakwambia hili li-serikali la ccm majambazi/mafisadi hata hayafikirii kwa kutumia akili yalizopewa bure na Muumba. yanatumia vichwa kufugia nywele kama lilivyojisifia lile kubwa lao la sheria lile li mura-werema. nadhani yanatumia masaburi kufikiria badala ya kuyatumia kukalia. yapo addicted na nje, everythung nje, nje, nje!!!! hivi hao wa nje wao huwa wanatoa wapi??? badala ya kuimarisha viwanda vidogo vidogo vya ndani, menyewe yamekalia kuwatukuza wa nje tu, ili yachakachue pesa zetu walipa kodi. halafu hivyohivyo viwanda vya ndani ndo vinalipa kodi na menyewe yanajineemesha kwa kuishi maisha ya peponi yakiwa hapahapa duniani.


Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waling'oe madarakani hili li-serikali la ccm MAONGO/MAFISADI/MAJAMBAZI/WAUAJI.

Inatia uchungu sana mkuu

Ila iko siku manake hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
 
Huyu ni karani wa sensa akikamilisha kujaza moja ya madodoso yao ktk ukumbi wa baa. Wasiwasi wangu ni vp taarifa zetu zitakuwa siri wakati zinajaziwa maeneo kama haya.
 

Attachments

  • Photo0087.jpg
    Photo0087.jpg
    39.5 KB · Views: 168
Cha msingi taharifa za watu aendelee kuziweka moyoni mwake
 
Wa kusoma,usemayo ni kweli,mdau Ngoswe aliunguza karatas za takwim kwa ajili ya MNAZI
 
Last edited by a moderator:
Ya ngoswe mwachie ngoswe.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hivi ni zipi zinazoitwa siri?
Elimu, Idadi ya watoto, kazi au kitu gani?
Labda siri ni kwa wale waliokutwa na wake za watu
gesti au walioaga kwa wake zao kuwa wanasafiri kumbe wako
nyumba ndogo au gesti
 
Ndio muda umeongezwa,je makarani na wasimamizi wataongezwa malipo? Kwa hizo siku za ziada?Wenye kulifahamu hili wanijuze tafadhali.
 
Msikubali kwani mkataba wenu ni wa siku saba na siyo 14. Malipo ya awali ni ya siku saba na siyo 14. Hiyo sensa imekula kwa serikali na makarani watakaojiingiza kienyeji bila mkataba mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom