RGforever JF-Expert Member Apr 3, 2011 6,878 5,424 Sep 2, 2012 #41 Jambo usilolijua ni kama usiku wa Giza. Kuna Watu wanalia kisa Kusiliba.. Ungepewa hiyo kazi usingeleta Haya maneno JF
Jambo usilolijua ni kama usiku wa Giza. Kuna Watu wanalia kisa Kusiliba.. Ungepewa hiyo kazi usingeleta Haya maneno JF
MZIMU JF-Expert Member Apr 29, 2011 4,057 1,371 Sep 2, 2012 #42 Waswahili husema, lakuvunda halina ubani.