Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,152
- 26,657
Mkuu sio kuwa wanapenda!Kweli watu hawapendi kujiajiri au hawana mtaji?.
Yaani huku mtaani wanaokimbizana serikali ya mtaa kujaza hizo fomu ni weengi sana yaani.
Ukiachilia mbali wale 100,000+ walioomba nafasi ya ualimu wakati wanatakiwa 9,800 kuna majanga makubwa sana.
Wengine
Mtajiiii ni issue