Sensa 2012: Yanayojiri

Ukishindwa kujibu maswali inakuwaje japo uko willing kuyajibu? I mean unaonyesha ushirikiano lakini baadhi ya maswali ukashindwa kujibu? Maana naona mahabusu zitajaa ghafla ...
 
Mi sihasebiwi!

..... kumbe..... wanaokataa kuhesabiwa wanaona weakness hii..... Chuwa was explaining about legal measures that could be instituted against individuals proved to have, in any way, sabotaged the exercise. Some Muslim activists told reporters about their plans to boycott that activity today. He said that the Statistics Act, 2002 does not clearly stipulate legal measures that can be taken against persons sabotaging that exercise.
Replying to a question on what action will be taken by NBS to individuals insisting on provision of numbers of Muslims and Christians, Dr Chuwa said the current act dated 2002 has no provisions for prosecuting anyone in that regard.
"The Statistics Act of 2002 page No 351 says nothing as to one who provides such statistics. Due to that weakness we seek that the Act be reformulated and sent to Parliament for amending, so as to get legal power to take action when such a situation occurs," he said.


 
Nimesikia kwenye vyombo vya habari kwamba kuna tatizo la sare za makarani,pengine aliyepewa tender hana uwezo wa kusupply bidhaa.
Karani aliyekuja kutuhesabu hakuwa na sare ila nimoeona amevaa kitaumbulisho iliyo andikwa lugha mbili Kichina na kiengereza inaelekea aliyepewa tender ya ku supply vitambulisho hivyo amevileta kutoka China!!
 
Hapa kahama bado kabisa nasikia sikia itachukua mda maana hata makarani wana malalamiko kuhusu posho zao

Hii serikali yetu mbona inashindwa hata na vitu vidogo kama hivi yaani habari ya sensa inapigiwa debe miaka kumi iliyopita leo siku imefika unasema makarani wanalalamika kuhusu posho? hiyo pesa iliyotengwa kwenye bajeti inafanya nn kwa nn watu wasilipwe haki zao wachape kazi??na kwa nn tatizo hilo halikuwa solved hadi leo siku ya sensa??Hii serikali kweli anavosema Dr. Slaa imechoka ni ya kupumzisha hajakosea yupo sahihi kabisa!kila mtu anajua sensa ni kila baada ya miaka kumi yaani maandalizi ya miaka kumi ndio haya kweli? waislamu wanagomea? makarani wanadai posho? Iam tired of this type of stereo type government!!
 
Jana mkuu wa Mkoa wa Dodoma aliagiza baa zote zifungwe saa 4 usiku ili watu wakahesabiwe majumbani kwao. Nilishangaa na kuhisi kwamba kumbe hata viongozi wa ngazi za juu hawaelewi vizuri utaratibu wa sensa.
 
Kikwete anahesabiwa pale home kwake live TBC1 anaenda kwenye kichumba cha siri ili atoe taarifa za kitakwimu za kiintelijensia kuhusu familia yake..hivi ana watoto wangapi vileee???...ha...ha...ha..ha..ha
 
Karani usiogope geti just ring the bell...

Nina hamu na sensa kiasi kwamba nahisi mnachelewa, au nikacheki pale nje isijekuwa kuna MWEHU kaweka kipeperushi cha uzushi getini then Karani kanipitiliza. Sitakubali hujuma ya aina yoyote, mimi na familia yangu lazima tuhesabiwe.
 
Nachungulia dirishani, my niece kicking football hard na neighbours kids. Water tank is spilling water , jamani zimeni pump! Nasubiri makarani wa sensa.
 
jk na familia yake wako live tbc wakihesabiwa katika zoezi la sensa liloanza rasmi leo
 
Sensa ya watu imesababisha train ya kati kusimamishwa na wahesabuji wa sensa katikati ya safari wakidai watu wahesabiwe wote ndani ya train ndiyo iendelee na safari je huo ndiyo ustaarabu wa sensa?

Mkuu hao makarani siyo wabunufu hivyo wamefanya kosa kusimamisha hiyo Treni badala yake wangewahesabu hao Abiria wakati treni ikiendelea na safari.Mbona mimi sasaiv nipo ndani ya ndege ya Emirates na naendelea kuwahesabu abiria huku ndege ikiendelea na safari? Na kwa taarifa yako sasaiv tunakaribia kutua uwanja wa Heathrow pale UK. Sensa safi sana yani nimepanda pipa hivhiv bila kutarajia!
 
Mimi nimekesha nikidhani watakuja usiku...

Mkuu Katavi, mimi nipo safarini kikazi na wamekuja hoteli saa 8 usiku wakitaka wote tubesabiwe na waingie vyumbani wakati wahudumu Wa hoteli walipatiwa form kuandikisha waliolala hapo siku leo. Duh!!!
 
Last edited by a moderator:
Sensa ni muhimu na haijaanza leo,itikadi zetu tuziweke pembeni hazitaifikisha nchi hii popote!
 
Kumekucha,habari ndugu Watanzania, jumapili safi napata ka breakfast taratibu, na check BBC news nikisubiri makarani wa sensa. US astrounant Neil Armstrong dies, scores of bodies found in Syria, tropical storm dumps rain Cuba.......................... /Post Sensa update

Na mimi nawasuburi hapa niko nasikiliza Clouds on Sunday the only day nasikiliza Clouds kwa sababu ya miziki yao ya enzi zangu.
 
Back
Top Bottom