Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,859
Wanajeshi wa Senegal wako kwenye mpaka wa nchi hiyo na Gambia na wataingia Gambia iwapo Rais Yahya Jammeh hataondoka madarakani ifikapo saa sita usiku, hayo ni kwa mujibu wa msemaji wa Jeshi la Senegal kanali Abdou Ndiaye.
Ndiaye amesema iwapo hakutakuwa na suluhu lolote wakati huo basi wataingia Gambia.
Kiongozi wa upinzani Adama Barrow ambaye alishinda uchaguzi wa Desemba 2016 alipangiwa kuapishwa leo
Ndiaye amesema iwapo hakutakuwa na suluhu lolote wakati huo basi wataingia Gambia.
Kiongozi wa upinzani Adama Barrow ambaye alishinda uchaguzi wa Desemba 2016 alipangiwa kuapishwa leo