Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,054
- 71,342
Labda kama walikua wanajipongeza kwa namna wanavyokula kulingana na Kamba zao.
Hayati Magufuli (JPM) hakuitisha cha Semina wala nini, lakini watu walichapa kazi, Pesa zilitokewa na kufika, Kwa JPM ulikua ukila Pesa yake utaitolea kwenye Tundu lolote la mwili wako. Kwa JPM watumishi wabovu walijitenga.
Et Semina, unaongea na watu wazima kama vile unaongea na Familia, tena unaongea na watoto.
Watu walokaa Serikali Kwa vipindi tofauti, na nafasi mbalimbali, bado unawaambia Acheni dharau, msisemane, msilumbane n.k.
Uwiii Taifa limepatikana kweli, eeehh , tutafika tumechoka sana.
Hapa ndipo wenye hekima, busara na akili, waliona mwenye IQ kubwa Hayati JPM apewe Nchi.
(Siku hizi kila linaloshauriwa ni ndiooooooo. Rais Samia anatafuta Cheap popularity, aina ya siasa yake ni halali wakina Nnauye wamshangilie ukizama Ndani zaidi utagundua kwa pamoja wako kwenye levo Moja ya uelewa. #Intelligence 👎).
Niwaombe sana, Wabunge wa JMT aina ya Luaga Mpina na wenye Kariba hiyo, Simameni, semeni, chapeni kazi, Bora muonekane mmekua Wapinzani lakini watanzania wanawaelewa.
Kueni Wapinzani kwelikweli, kwa kuwa sasa hatuna Upinzani.
Hayati Magufuli (JPM) hakuitisha cha Semina wala nini, lakini watu walichapa kazi, Pesa zilitokewa na kufika, Kwa JPM ulikua ukila Pesa yake utaitolea kwenye Tundu lolote la mwili wako. Kwa JPM watumishi wabovu walijitenga.
Et Semina, unaongea na watu wazima kama vile unaongea na Familia, tena unaongea na watoto.
Watu walokaa Serikali Kwa vipindi tofauti, na nafasi mbalimbali, bado unawaambia Acheni dharau, msisemane, msilumbane n.k.
Uwiii Taifa limepatikana kweli, eeehh , tutafika tumechoka sana.
Hapa ndipo wenye hekima, busara na akili, waliona mwenye IQ kubwa Hayati JPM apewe Nchi.
(Siku hizi kila linaloshauriwa ni ndiooooooo. Rais Samia anatafuta Cheap popularity, aina ya siasa yake ni halali wakina Nnauye wamshangilie ukizama Ndani zaidi utagundua kwa pamoja wako kwenye levo Moja ya uelewa. #Intelligence 👎).
Niwaombe sana, Wabunge wa JMT aina ya Luaga Mpina na wenye Kariba hiyo, Simameni, semeni, chapeni kazi, Bora muonekane mmekua Wapinzani lakini watanzania wanawaelewa.
Kueni Wapinzani kwelikweli, kwa kuwa sasa hatuna Upinzani.