connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 1,736
- 2,297
Baada ya kufanikiwa kuwaletea Get Together Party ya kwanza na kuwakutanisha watu zaidi ya 200 pale PRINCESS HALL SINZA MAPAMBANO sasa tunawakaribisha tena kwenye semina ya Mahusiano itakayofanyika PRINCESS HALL, SINZA MAPAMBANO tarehe 11 Agosti, 2013 kuanzia saa 8 Mchana Kiingilio ni Tsh. 5,000/=. MADA mbali mbali za mahusiano zitajadiliwa. Wale wa Mikoani bado tunafanya mipango ya kuwafikia kwa kuanzia tunafikiria kuanza na ARUSHA kisha MWANZA ,MBEYA na DODOMA.