Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,203
- 10,839
Wewe ndo huyo mzee nini?Ni mambo yale yale ya mapenzi hakuna ujambazi hapo ahahahaha
Wewe ndo huyo mzee nini?Ni mambo yale yale ya mapenzi hakuna ujambazi hapo ahahahaha
Hapana mkuu ahahahahahha mi ni kijana ambaye huwa nawapa radha hawa hause girl mtaaniWewe ndo huyo mzee nini?
Maoni yako ni yapi hapo sasa je huyo binti ni mtoto au anaelewa anachofanyaHapana mkuu ahahahahahha mi ni kijana ambaye huwa nawapa radha hawa hause girl mtaani
Huyo mtoto kama ana wazazi/Walezi au waangalizi,basi wao ndio wana makosa,Watu wazima ambao hawajaoa inabidi wapigwe marufuku kuishi na mahouse girl,.
Wanaharibu watoto
Daaah mi hata selewi mkuu..Maoni yako ni yapi hapo sasa je huyo binti ni mtoto au anaelewa anachofanya
Mtu mzima ( mature one ) hawezi fanya haribu mtoto wa mwenzake iwe kao au hajao. Kizazi hiki cha nyoka kimeharibika kinahitaji ukombozi wa fikra kwa kiasi kubwa na MunguWatu wazima ambao hawajaoa inabidi wapigwe marufuku kuishi na mahouse girl,.
Wanaharibu watoto
Ngoja uje ufungwe bwasheeMkuu 🫡🫡🫡 umemaliza kila kitu🤣🤣🤣🤣
Oa hivyo hivyosiku hizi wana jua udogo Sasa, uwakute na vimadela vyao wame vishikilia mkononi, ndala za manyoya, kipini puani duh
Blood kenge majiOa hivyo hivyo
BladiBlood kenge maji
kengeBladi
Shangazi kaanza mdomo kwa watt wa watu😂Duh shangazi , umeshaanza sasa 😅
Sasa mambo ya madeni yeye anahusika vp mkuu, inashangaza sanaHello Jf members👋
Leo bhana wakati nakagua kagua simu hapa nikaona convo ambayo sikua naielewa maana hata namba haijasaviwa,. Nikashangaa how imekuwaje simu ni yangu na sijui kama mazungumzo ya namna hii..... Ooh ndio nikakumbuka Kuna binti Jana aliniomba kama simu yangu inadakika ampigie dada Ake,. Asa sijui hawakuongea au ilikuwaje mpaka wakachat ana asifute..
Inaonekana hapa ni mwanaume anazungumziwa🤔,. Lakini mbona huyu binti umri wake ni mdogo Sana Kwa haya mazungumzo?,. Maana ni Form four leaver WA mwaka Jana..
Naomba Tu anasezungumziwa asiwe ni boss wake ( Huyu binti ni house help WA mpangaji wetu hapa ) ,.Maana Huyu jamaa mwaka WA tatu hapa anaishi mwenywe na Hana familia lakini sidhani kama Yuko single Kwa makamo Yake inaonekana labda pengine familia Yake iko mbali ... Huyu binti ni mdogo Sana Kwa huyu jamaa
Mungu saidia asiwe huyu mtoto mbona kama ana balaa,. Sasa ujambazi gani? Au anataka kumwibia? Au Mimi Tu ndio Nina mawazo ya kimbea ?,. Au nyie mnaonaje pengine naweza fanya kitu au niache Tu?
Shangazi anataka kuleta unokoMganga tena… Shangazi mchawi wewe
Hey 👋Heeeey!?