Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Mi niko hapa kusaka vimwana...
Inaonekana huyo demu si wake na ndiyo maana kamshika makalio ili angalau ajiridhishe!!!
MMU ina mambo kweli.
Mi niko hapa kusaka vimwana...
nimesema huwa natoa ushauri pia, ingawa kila mtu ana jinsi yake kwenye mmu; hujaona?
tabasamu muhimu binti wa kike
vitu hivyo ni kama vipi peri?
ha haaaaaaaaaaaaaaa, shkamoo!umzuri kweli wewe. sijui aweza kukufaham zaid hasa juu ya tabasam lako hahahahh!
Masuala mazima ya mahusiano, ndoa, afya ya uzazi na mengine mengi.
Unajua kwavile watu wengi hawatumii majina halisi wala wengi hawaweki picha inakuwa rahisi mtu kuongea chochote
bila uoga na kutoa mchango wake.
Hakika jf hasa mmu na jukwaa la siasa kuna mengi mazuri,
kuna vitu hauwezi kuuliza pengine lkn ukija jf uasema tu na watu wanakushauri.
ha haaaaaaaaaaaaaaa, shkamoo!
hivi mmu tunajadili mambo ya ku-duuuuuuuuuuuuuu??????????????????????????