Sema chochote kuhusu Middle East

Sema chochote kuhusu Middle East

Ni kweli hawa watu wameshikamana sana na ndio race yenye akili zaidi dunian
Madai yako sio kweli mkuu yakusema kuwa wao ndoo race yenye akili zaidi hapa duniani?
Ungesema wao ndoo mabingwa wa fitna katika hii duniani ningekuelea.
 
Wazungu ni wema kwakuwa wanalazimisha ushoga,wanawashushia mabomu kisha wanawaletea maiti mikate, ukarimu ulioje huo
Hawana ukarimu ila ni potential kwa sababu wameleta teknologia, elimu na civilization ,ushoga mnajipendea wala hawalazmishi muwe wanataka haki ya kuishi iheshimiwe tu!! Hata internet unayoitumia n ya kwao!! Waarabu wametuletea utumwa,dini ya vita,kujitoa muhanga,na kuvaa kanzu!!....hata walimopita walishindwa kujenga hata shuleee!! Sitetei upande wwte but this is fact !!!
 
Madai yako sio kweli mkuu yakusema kuwa wao ndoo race yenye akili zaidi hapa duniani?
Ungesema wao ndoo mabingwa wa fitna katika hii duniani ningekuelea.
Ni rekebishe bas race IPI inaongoza kwa kuwa na watu wenye akili duniani
 
Mbona umesahau kua Sodoma ni mji wa zamani wa Palestina
Waliangamizwa. Leo wazungu wamewazidi hata wao. Lay angefufuliwa mmoja aone wanayoyafanya leo,angekufa kwa mshtuko.
Wao hawakuwa wakifunga ndoa. Leo hao watakatifu wako wanaingia kanisani na kufunga ndoa
 
Hawana ukarimu ila ni potential kwa sababu wameleta teknologia, elimu na civilization ,ushoga mnajipendea wala hawalazmishi muwe wanataka haki ya kuishi iheshimiwe tu!! Hata internet unayoitumia n ya kwao!! Waarabu wametuletea utumwa,dini ya vita,kujitoa muhanga,na kuvaa kanzu!!....hata walimopita walishindwa kujenga hata shuleee!! Sitetei upande wwte but this is fact !!!
Waarabu hawakuleta utumwa bali in hao wazungu,na soko kubwa lilikuwa kwao.
Wazungu walileta dini ya kufumba macho muombe kumbe wanamaliza tembo
 
Waarabu hawakuleta utumwa bali in hao wazungu,na soko kubwa lilikuwa kwao.
Wazungu walileta dini ya kufumba macho muombe kumbe wanamaliza tembo
Ahsante Mkuu.. na ukweli huu hapa..
images

Rais wa kwanza wa kenyea JK!!!
 
Kuna vingi na mengi yaliyokuwepo, yapo na yatatokea Middle East, Hebu weka kinachokukera, kufurahisha, kusikitisha na kukukereketa kuhusu hii Mashariki ya kati, nchi, race, zone, politics na future.

Nimekaa Iraq kwa mwaka, na nimepita mara nyingi tu Jordan na Doha..... nimejifunza mengi

1. Ukiristu unaheshimiwa sana kama sehemu ya civilization hasa Iraq na Jordan, maeneo yote ya historia za mfano Ibrahim, Daud, Musa na wengine yako pamoja , ni wewe tu na Imani yako.... nimefika Dead sea na Akaba Jordan .... pale kwenye kumbukumbu ya Mtume Musa ( AS) alipoonyeshwa mji wa ahadi. in short kule wana share historia. Misepotemia na mto Yordan na Ufretes ( spelling nimekosea) ni hizo hizo kwenye vitabu vyote

2. Lugha inayotumiwa kanisani ni Kiarabu , hakuna cha God, Mulungu, Dueu au what ni Allah na Rabbi kwa dini zote ( kama huamini google bible in arabic

3. Mwanamke ni ni zaidi ya Alimas au lulu, Ole wako umbwatukie au kumpiga mwanamke hata kama ni wako, ,kwenye vyombo vya usafiri mwanamke hupewa kipaumbele... kwenye benches zahospital na public places kama Banks wanawake hukaa kwanza na huhudumiwa kwanza.... Mwanamke anachungwa na jamii nzima

4. Midle east wanawake hufurahia Stara na kwao ni prestige
5. Wanaume huwapikia na kuwasaidia kazi za nyumbani, si mabwenyeye kama sisi

6. Ukimwi sio issue kabisa kiwango cha zinaa kiko chini
7. Ombaomba sio wengi kama huku kwetu ..
8. Elimu wako juu sana kuliko sisi, taaluma kama Engeering and Ugaktari ni kawaida, ukilaza si sana kama huko , mfano ni Jordan
 
Waarabu hawakuleta utumwa bali in hao wazungu,na soko kubwa lilikuwa kwao.
Wazungu walileta dini ya kufumba macho muombe kumbe wanamaliza tembo
Mi najua kwann unakataa kua waarabu hawakuleta utumwa sawa!! Utumwa haujawahi kuwepo afrika waarabu walileta elimu,dini,nakutusaidia waafrika!!....hapo vip
 
nataka nikazae na myahudi mtoto nimlete bongo, anakuwa TO tangu vidudu mpaka mwisho wa elimu yake. Juhudi zangu za kuzaa na mu israeli zitafanikiwa tu hata kwa kupitia kwa dk manyau nyau
 
Ndo alishindwa sasa!! Taifa teule ilo sio ww mtumwa wa waarabu!! Ubaya wao kujilinda ,kulinda mipaka yao, ubaya wao kutotaka kuachia nchi yao ya ahadi!!
No one will win against Israel"
Na kwanza hawakutawala taifa lolote
Hao waarabu wangekua wazuri wangekuja kuwatumikisha huku na kulazmisha watu kuslim!!
History haidangaji mzee!!

waongea hovyo hovyo hata huweleweki,ujerumani kashindwa nini sasa? Yaani wewe hujui hata kujibu, sasa mimi kuongea ukweli ndio unaniambia ni mtumwa wa waarabu? Kwaiyo uritaka niongee uongo ili nionekane sio mtumwa wa waarabu wewe vipi mbona waongea utumbo?
 
Kuna vingi na mengi yaliyokuwepo, yapo na yatatokea Middle East, Hebu weka kinachokukera, kufurahisha, kusikitisha na kukukereketa kuhusu hii Mashariki ya kati, nchi, race, zone, politics na future.
ndio mahali penye gereza kubwa zaidi duniani (Gaza belt)
 
Mbona unahasira na wayahudi kuliko hata wakoloni waliokutawala ,unahasira na watu ambao hujawahi hata ishi nao !! Au umemezeshwa
 
Wanapendana kuliko watu wote duniani,hawa wayahudi,wanaongoza mataifa yote makubwa kutokea israeli,ufaransa,ujerumani,uingereza,markani n.k top secret za mataifa hayo ni za kwao kutokea middle east Israel.
Israel haipo middle east ipo norhern africa
 
Back
Top Bottom