jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,634
- Thread starter
- #41
Mi natazama mbona sijakiona cha ivoUnaishi dunia ipi nduguu hutazami tv ama hii kitu inaitwa drone nikifaa ambacho hutumiwa kuchukua video ama picha angani
Mi natazama mbona sijakiona cha ivoUnaishi dunia ipi nduguu hutazami tv ama hii kitu inaitwa drone nikifaa ambacho hutumiwa kuchukua video ama picha angani
Wote wabaguzi wa kutupwa tena waarabu ndio mara million yao wazungu.Ubaguzi wao uko vipi Mkuu? Mimi nimeishi jirani na waalabu sijapata kuona watu wema kama waarabu,tumeishinao karne na karne hapa lkn sijaona chochote kibaya kutoka kwao..ni watu wenye imani na huruma zaidi kuliko mataifa yote unayoyajua, hakuna cha wazungu wala waislaeli wanaotuulia waafrika wenzetu, tatizo letu wabongo tunawashobokea mno watu hawa bila kujua wanatuchukia kias gani.myahudi ni ****** hafai hata kidogo.
Mimi kama mtanzania napinga sana ubaguzi jamani. Hebu watanzania wenzangu tuishi kwa amani na upendo na tuache racism, ni hayo tu mkuu
Ubaguzi wa mwarabu ni mauaji kama issMuulize yule mbunge aliyekuwa anajifanya wakala wa kuwatafutia kazi uarabuni mabinti zetu,sasa hivi mabinti zetu wamewaharibu kwa tabia zao mbaya na wengine wamedhurumiwa haki zao huko,wewe waarabu noma sana si watu hao
The best places full of tourism attractions are Egypt and Israel Jordan will come third.Middle east is middle east what's happen in middle east stays in middle east but there some part of middle east is the best place to be like Jordan kuna caves na tourist attraction zakuvutia plus the food mmmmmmh!! It's delicious you have to go there guys really you will enjoy it
Egypt sawa kabisa ndo inaongooza kwa tourism but IPO Africa CIO Middle EastThe best places full with tourism attractions are Egypt wnd Israel Jordan will come third.
Tembelea aisee sehemu inaitwa petra pakopoa kwelii sikatai kwamba Egypt kwamba siopazuri ila haponapo kukopoaThe best places full of tourism attractions are Egypt and Israel Jordan will come third.
elewa mkuu. Starting point ilikuwa kwenye Azimio la Arusha - Ujamaa na Kujitegemea. Think out of the box. Kwani Israel yeye starting point yake ilikuwa nini? Bado hujajiamini, unasubiri mtu atoke nje ndo akupe maendeleo.Kwa maana hiyo unataka Tanzania iwe kisiwa???Usawa gani wewe unaouzungumzia????Huwezi na fikra kama za mao from no where,lazima iwepo starting-Point ambayo ni kupata teckinolojia toka kwa wenye nazo toka nchi zilizoendelea kwenye viwanda,kilimo na mambo mengine mhimu kwa taifa letu.Tanzania haiwezi kuendelea kama tutajizungushia ukuta tuwe kama kisiwa,Thanks God sisi hatuko hivyo tumefungua milango kwa yeyote ambaye anaweza kuja kuwekeza hapa kwa maslahi ya taifa letu,bila kujali chuki za wenye chuki nasi.
Heri ya mimi ambae sinaga tabia ya kusahihisha watu kwenye mabandiko yao mara kwa mara, sababu najua siwezi nikayaepuka makosa ya kiuandishi mara zote. Kuna muda lazima ntakosea tu.Hivi kuandika hivyo mwenyewe unajiona upo sahihi kabisa? Ndivyo ulivyofundishwa kuandika hivyo na walimu wako? Au ni ujinga wa asili?
Nadhani hata wewe ni mmoja wapo wa hao walimu wanao fundisha hicho unachokisema daily humu= wamedhulumiwa
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwani mkuu wewe unafahamu kila kitu katika dunia hii??????Unaishi dunia ipi nduguu hutazami tv ama hii kitu inaitwa drone nikifaa ambacho hutumiwa kuchukua video ama picha angani
Mimi nipo hivi huku MidoEst !!.... afrodenzi karibu kwetu nchi ya kula raha hadi kiyama !!!Kuna vingi na mengi yaliyokuwepo, yapo na yatatokea Middle East, Hebu weka kinachokukera, kufurahisha, kusikitisha na kukukereketa kuhusu hii Mashariki ya kati, nchi, race, zone, politics na future.
Na kweli mnakula raha sikatai ila ukweli ndio huo na jehanam siendi watu wote ni wabaguzi ila wanatofautiana viwango.Mimi nipo hivi huku MidoEst !!.... afrodenzi karibu kwetu nchi ya kula raha hadi kiyama !!!
Tunatumbua tulicho nacho.. hatuombi ombi.. wala hatujikombi kwa mtu yyte !!
Echolima chongchung Mtakufa kwa chuki zenu... na jahanamu ni patakuwa makazi yenu !!
Njooni wote tunywe kahawa mnayolima huko Bukoba na kilimmanjaro ila tunayotumia ni siye huku....................... karibu kwa mababu !!Na kweli mnakula raha sikatai ila ukweli ndio huo na jehanam siendi watu wote ni wabaguzi ila wanatofautiana viwango.
Naomba nialike kwako nije kunywa coffee.
Hahahahaa sasa hapo nitaenjoy ladha kweli au nitakua nahofia akikasirika naikosa kahawa na oxygen?chongchung Mkuu unaona chuma hicho kiunoni......!!
hapo ulete fyoko...... utakunywa kawaha hadi useme toba!! ha ha ha ha
Aisaee... huku kuna mila za ubabe ubabe.. yaani wazungu wana amuza kukatiza protocal wanvyona miguu ya kuku inavyotamba !! yaani kahawa huwa wanywi kbs wanagersha tu....Hahahahaa sasa hapo nitaenjoy ladha kweli au nitakua nahofia akikasirika naikosa kahawa na oxygen?
Hawawezi kuungana kama wamechanganyikaYaani hao jamaa mkiwashirikiria watu wao hata 3 tu haijarishi wana makosa au hawana, baasi taifa zima mtapata shida.
wanapendana hatari na hakuna taifa ambalo linawajari watu wake kma lile kuanzia wafungwa.
Tatizo moja ni wabaguzi hakuna mfano
Muongo wewe,Myahudi sio mwenzako wewe hata kama una cv ya namna gani ukienda kwao utaishia kuwaosha watoto wao,kuwatawaza,manyanyaso juu na kukuuwa kabisa