Sema chochote kuhusu Middle East

Sema chochote kuhusu Middle East

Ubaguzi wao uko vipi Mkuu? Mimi nimeishi jirani na waalabu sijapata kuona watu wema kama waarabu,tumeishinao karne na karne hapa lkn sijaona chochote kibaya kutoka kwao..ni watu wenye imani na huruma zaidi kuliko mataifa yote unayoyajua, hakuna cha wazungu wala waislaeli wanaotuulia waafrika wenzetu, tatizo letu wabongo tunawashobokea mno watu hawa bila kujua wanatuchukia kias gani.myahudi ni ****** hafai hata kidogo.

Mimi kama mtanzania napinga sana ubaguzi jamani. Hebu watanzania wenzangu tuishi kwa amani na upendo na tuache racism, ni hayo tu mkuu
We ndio muongo kuliko wote
 
Muulize yule mbunge aliyekuwa anajifanya wakala wa kuwatafutia kazi uarabuni mabinti zetu,sasa hivi mabinti zetu wamewaharibu kwa tabia zao mbaya na wengine wamedhurumiwa haki zao huko,wewe waarabu noma sana si watu hao
hawa jamaa katika historia c ndo wale waliokuwa wanawatoboa babu na bibi zetu viwiko vya miguu na kuwafunga kwa minyororo
 
Upuuuzi wa kushobokea Israel na waarabu na kudanganyana tu. Kuna mambo kibao ya kujadili kuhusu Tanzania kabla sijaanza kuwajadili watu ambao hawajui hata uwepo wa nchi inayoitwa Tanzania. Amka Tanzania

Wewe ndiyo sabu-Bufa kweli kelele nyingi kumbe ndani hakuna kitu.Wewe hata husomi hapa tunaongelea nini unakuwa kama lile jimama linalosahihisha mwandiko chekechea,Hapa tunaongelea Mashariki ya kati ikiwemo Israel acha Ujuha wako.
 
Wewe ndiyo sabu-Bufa kweli kelele nyingi kumbe ndani hakuna kitu.Wewe hata husomi hapa tunaongelea nini unakuwa kama lile jimama linalosahihisha mwandiko chekechea,Hapa tunaongelea Mashariki ya kati ikiwemo Israel acha Ujuha wako.
Dada itakua hujui kusoma nimesema sina muda wa kushobokea Israel na waarabu wa middle East. Ninajua mnaongelea mabwana zenu wa ME hebu rudia kunisoma tena Dada au una intellectual disability yani mbumbumbu huwezi kuelewa Dada.

Ni kawaida ya miafrika kuwashobokea waisrael na waarabu sababu ya dini mlizoletewa huku wao wakiwa hawa muda na nyie kabisa zaidi kuwadharau na kuwabagua tu.

Dada mwingine kasema eti ukiandika tu Israel online wao wanachunguza ni nini umeandika for security purposes na watu wengine mnaamini, kama huo sio upopoma sijui nini itakua. Elewa Dada
 
We ndio muongo kuliko wote

Uongo wangu uko wapi mkuu, kwaiyo unataka kutuaminisha unachokisema wewe, uliishinao ukawajua hawa wayahudi kama ni watu wazuli?waarabu tumeishinao hapa karne na karne no problem! Ndugu yangu wayahudi hawafai hata kidogo,so usidanganyike wale ni dogi kabisa, Na mauwaji wanayoyafanya kwa waafrika wenzetu na wa parestina sio kidogo na bado tu munawapenda?sasa sijui nyie munawachukia kwa lipi waalabu?

Na ndio maana Hitler hakutaka kuwamaliza wote! Hawa wayahudi WHY? ili dunia ijionee kuwa hawa watu ni wabaya mno, na ni wauwaji Hivyo Hitler alikuwa nahaki ya kuwamaliza wote kabisa wasiwepo katika hii dunia.
 
Porojo tu.
We nani alikwambia naenda kutafuta kazi huko ?
Umesoma kweli nilichoandika? Au ni kimbelembele tu cha kujibu.

Unasikia wewe dada hapo nimekupa mfano tu, ila usijaribu kukurupuka kwenda utajuta juto la kuzaliwa, ni heri ushindie hapa kula ugali na mlenda kuliko kwenda huko kwa hao vilaza wakubwa utaishia kuosha watoto na kutawaza, huo ni mfano nimekupa
 
hawa jamaa katika historia c ndo wale waliokuwa wanawatoboa babu na bibi zetu viwiko vya miguu na kuwafunga kwa minyororo
Bado kuna mijitu inawashadadia na kuwasujudia ....Uhuru wa kiakili sifuri
 
Wewe ndiyo sabu-Bufa kweli kelele nyingi kumbe ndani hakuna kitu.Wewe hata husomi hapa tunaongelea nini unakuwa kama lile jimama linalosahihisha mwandiko chekechea,Hapa tunaongelea Mashariki ya kati ikiwemo Israel acha Ujuha wako.
Ha ha ha
 
Dada itakua hujui kusoma nimesema sina muda wa kushobokea Israel na waarabu wa middle East. Ninajua mnaongelea mabwana zenu wa ME hebu rudia kunisoma tena Dada au una intellectual disability yani mbumbumbu huwezi kuelewa Dada.

Ni kawaida ya miafrika kuwashobokea waisrael na waarabu sababu ya dini mlizoletewa huku wao wakiwa hawa muda na nyie kabisa zaidi kuwadharau na kuwabagua tu.

Dada mwingine kasema eti ukiandika tu Israel online wao wanachunguza ni nini umeandika for security purposes na watu wengine mnaamini, kama huo sio upopoma sijui nini itakua. Elewa Dada
Punguza hasira mkuu !! Tunajaribu kuchanganua habar za middle East sio kushobokea hapana!! Au unataka tuanze Yale ya "Ccm mbele kwa mbele"
 
Ni kweli hawa watu wameshikamana sana na ndio race yenye akili zaidi dunian
Mkuu umetumia vigezo gani kubaini hilo?maana isije ikawa tunawapa uhalali wa kufanya jambo lolote kwa imani tu kuwa wana akili kuliko viumbe au binadam wengine, tafadhari tudadavulie!
 
Uongo wangu uko wapi mkuu, kwaiyo unataka kutuaminisha unachokisema wewe, uliishinao ukawajua hawa wayahudi kama ni watu wazuli?waarabu tumeishinao hapa karne na karne no problem! Ndugu yangu wayahudi hawafai hata kidogo,so usidanganyike wale ni dogi kabisa, Na mauwaji wanayoyafanya kwa waafrika wenzetu na wa parestina sio kidogo na bado tu munawapenda?sasa sijui nyie munawachukia kwa lipi waalabu?

Na ndio maana Hitler hakutaka kuwamaliza wote! Hawa wayahudi WHY? ili dunia ijionee kuwa hawa watu ni wabaya mno, na ni wauwaji Hivyo Hitler alikuwa nahaki ya kuwamaliza wote kabisa wasiwepo katika hii dunia.
Ndo alishindwa sasa!! Taifa teule ilo sio ww mtumwa wa waarabu!! Ubaya wao kujilinda ,kulinda mipaka yao, ubaya wao kutotaka kuachia nchi yao ya ahadi!!
No one will win against Israel"
Na kwanza hawakutawala taifa lolote
Hao waarabu wangekua wazuri wangekuja kuwatumikisha huku na kulazmisha watu kuslim!!
History haidangaji mzee!!
 
Kuna mtu mmoja humu anawasifia waarabu eti ni watu wakarimu na wameshika dini loh ni nani hapa kwetu anayetamani kufanyia kazi uarabuni badala ya ulaya?yote ni sababu waarabu pengine ndo wanadamu makatili kuli yeyote hapa duniani hata kama wazungu wana udhaifu wao lakini sio kama hawa waarabu
Washabiki wa Cameroon utawajua tuu
 
Back
Top Bottom