Sema chochote kuhusu Karl Marx na Adam Smith

Lakini pia mkuu nchi zilizofuata Communism haziko sawa kiuchumi kwa sababu nyingi ziliubaka mfumo huo,kwa sababu Communism ni stage ya mwisho ya maendeleo na hii inakuja baada ya Capitalism,watu wanaoweza kwenda sawa ni watu wa Ulaya na Amerika walioendelea na Capitalism toka mwanzo kwa sababu Communism inahitaji miundo mbinu yote iwe sawa/safi,uchumi uko safi kuanzia serikalini mpaka kwa mtu mmoja mmoja.
Sasa nchi nyingi kama Tanzania kwa mfano iliingia kwenye mfumo wakati huo ndo iko inajijenga kitu ambacho kufeli ni lazima,China wameweza kwa kiasi fulani kwa sababu wao wana population kubwa pia hata miundombinu yao waliiweka sawa toka kipindi hiko,pia hapakuwa na external infuence ya nguvu ya kuwachanganya..............mi hupenda sana maandiko ya Karl Marx.....japo hata Adam Smith namkubali sana ambae ukijaribu kulinganisha hawa watu wawili theories zake ndo zinaongoza dunia ila hata Marx theories zake sio kwamba zimeshindwa la hasha bado muda wake mwafaka zitakuja kutumika na wakati huo dunia itakuwa pahala salama pa kuishi yaani kutakuwa na balance ofa power!!!!!
MI nachojua Chinese practiced both capitalism and communism at same level ndio maana wapo hapo walipo

Sis tulijitia wajamaa kwa asilimia 100 we gained nothing kwa sababu tulikuwa akili za kujitegemea hatukuwa nazo...
 
Nikisikia haya majina namkumbuka sana mwalimu wangu Dr Bruda Itandala wa UDSM(RIP)

Duc in Altum
We utakumbukwa kwa lipi? Hebu muenzi mwalimu wako afurahi huko alipo km ni peponi

Philosophy is to think beyond
 
MI nachojua Chinese practiced both capitalism and communism at same level ndio maana wapo hapo walipo

Sis tulijitia wajamaa kwa asilimia 100 we gained nothing kwa sababu tulikuwa akili za kujitegemea hatukuwa nazo...
ilianza baada ya kifo cha MAO, maana alikomalia sera za kimasikini. Communism ikabaki kama tool ya kuunganisha watu na kuleta displine, serikali ye Mkono wa chuma ikaruhusu concepts from oversea kwa uangalifu. Kuanzai 1978 mipango mizito iliwekwa, mwishoni wa 80s na mwanzoni wa 90s dunia ikaanza kuona output ya mikakati. mizito. leo hakuna wa kuisogerea china na mentality ya rai wake.
hii ni era ya dengism
 
Karl max na swahiba wake wa karibu Engel waliandika kitamu murua saana kiitwacho " Comunist manifesto" mwaka 1848.

Ukifungua tu kitabu kile unakutana na maandishi " a spectre is haunting europe" na pia wakamaliza na maandishi " workers have nothing to lose than their chains"

Kitabu murua saana hiki muhimu watu wakisome kwa umakini na kukitafakari.

Kuna kitu huwa kinaniumiza kichwa kwamba hivi ni kwanini nchi zote zilizofuata communism mpaka sasa haziko sawa kiuchumi?

Viva Karl max....Viva Communism.
Kitabu murua vipi, kwa uzuri wa jarida lake au mawazo yaliyomo? Kama mawazo yaliyomo (yaani Ukomunisti) hayajafanikiwa mahali popote maana yake ni kuwa hayatekelezeki. Kwa hiyo mawazo/kitabu hayo hayawezi kuwa murua labda kama uliyafurahia kama riwaya.
 
Kitabu murua vipi, kwa uzuri wa jarida lake au mawazo yaliyomo? Kama mawazo yaliyomo (yaani Ukomunisti) hayajafanikiwa mahali popote maana yake ni kuwa hayatekelezeki. Kwa hiyo mawazo/kitabu hayo hayawezi kuwa murua labda kama uliyafurahia kama riwaya.
communist society iliyobaki duniani ni WANAKIBBUZ, WAKO ISRAEL KARIBU NA JANGWA LA NEGEVU KIJIJI KINAITWA KIBBUZ (THE GLOBAL CENTRE OF AGRITECH INNOVATION).
LAKINI WAO NAO ILIWASHINDA BAADA YA KUJIKUTA WANATEGEMEA MISAADA MAANA
COMMUNISM INAPROMOTE UNDERPRODUCTION UVIVU NA KUTEGEANA
 
Back
Top Bottom