Sema chochote kuhusu Karl Marx na Adam Smith

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,752
5,494
Miongoni mwa watu waliochangia mabadiliko makubwa ya kiuchumi, kiitikadi na kimantiki duniani ni Karl Marx na Adam Smith.

Mfano: Kitabu kilichotoka 1776, kilichoandikiwa na mchumi Adam Smith (Wealth of Nations) kilisababisha mapinduzi ya kiuchumi duniani na kupelekea uwepo wa capitalists.

Karl Marx, Mjerumani mwenye asili ya Uyahudi, aliyeishi maisha ya tabu, akisaidiwa na rafiki yake Angel, aliandika kitabu na machapisho yaliyoendana kinyume kabisa na CAPITALISM na kuonekana kana kwamba ni mtu asiyefaa. Lakini miaka michache baada ya kufa kwake ideas zake zilisambaa na kuigawa dunia katika vipande viwili; yaani Capitalism and Communism.

Unafahamu nini kuhusu hawa watu au watu waliokuwa kwenye milengo yao?

Karibu, sema chochote..
 
Karl Marx namkubali na ideas zake za migongano kati ya matajiri na maskini 1778s ambayo leo hii ndo applied dunia nzima kuhusu social changes and upheaval /mageuzi
 
Wealth of Nation by The father of economics Adam Smith. Nakumbuka Karl Marx aliwahi kusema "workers of the world you have to unite there's nothing to loose but your own chains."
 
Miongoni mwa watu waliochangia mabadiliko makubwa ya kiuchumi, kiitikadi na kimantiki duniani ni Karl Marx na Adam Smith.

Mfano: Kitabu kilichotoka 1776, kilichoandikiwa na mchumi Adam Smith (Wealth of Nations) kilisababisha mapinduzi ya kiuchumi duniani na kupelekea uwepo wa capitalists.

Karl Marx, Mjerumani mwenye asili ya Uyahudi, aliyeishi maisha ya tabu, akisaidiwa na rafiki yake Angel, aliandika kitabu na machapisho yaliyoendana kinyume kabisa na CAPITALISM na kuonekana kana kwamba ni mtu asiyefaa. Lakini miaka michache baada ya kufa kwake ideas zake zilisambaa na kuigawa dunia katika vipande viwili; yaani Capitalism and Communism.

Unafahamu nini kuhusu hawa watu au watu waliokuwa kwenye milengo yao?

Karibu, sema chochote..
Hawa jamaa walikuwa ni puppets tuu, karl marx alihubiri kitu ambacho hakuwa ana practice, hata ile manifesto nasikia alilipwa aandike, root yake inatoka kwa wale ma capitalist wakubwa kabisa waliochukua jukumu la kuitengeneza dunia na kuichezea kadiri wanavyotaka
 
Karl max na swahiba wake wa karibu Engel waliandika kitamu murua saana kiitwacho " Comunist manifesto" mwaka 1848.

Ukifungua tu kitabu kile unakutana na maandishi " a spectre is haunting europe" na pia wakamaliza na maandishi " workers have nothing to lose than their chains"

Kitabu murua saana hiki muhimu watu wakisome kwa umakini na kukitafakari.

Kuna kitu huwa kinaniumiza kichwa kwamba hivi ni kwanini nchi zote zilizofuata communism mpaka sasa haziko sawa kiuchumi?

Viva Karl max....Viva Communism.
 
Mi ni victims wa mavitabu hayo japo malecture ni wazembe hawaendi dip kufafanunua
Vitabu vya wanafilosofia/wanafalsafa wengi siyo rahisi kueleweka katika akili ya kawaida....walikuwa wakiandika mambo ambayo yapo juu sana katika fikra...hivyo mwalimu akishindwa kufafanua wala siwezi kumlaumu, kwani hata Ulaya na Marekani ambako kina Marx, Smith, Foucault, Habermas, Agamben, Kant, Arendt, Nietzsche, Dewey, Latour, Bourdieu, Lefebvre, Harvey, N. Smith n.k. walizaliwa na kuandika mawazo yao, ni walimu wachache wanaweza kuwaelewa hawa watu.

Lakini kuna baadhi yao wamejaribu ku-review kazi zao na kuziandika katika lugha rahisi ya kueleweka kwa watu wengi. Kutokana na aina ya uandishi wa wajerumani na wafaransa wanaotumia sana long sentences, kupata substance katika sentence moja ya Foucault, Habermas, Latour, Nietzsche n.k. siyo rahisi. Jaribu kucheki google na utapata maandiko yaliyorahisisha kazi zao.
 
Karl max na swahiba wake wa karibu Engel waliandika kitamu murua saana kiitwacho " Comunist manifesto" mwaka 1848.

Ukifungua tu kitabu kile unakutana na maandishi " a spectre is haunting europe" na pia wakamaliza na maandishi " workers have nothing to lose than their chains"

Kitabu murua saana hiki muhimu watu wakisome kwa umakini na kukitafakari.

Kuna kitu huwa kinaniumiza kichwa kwamba hivi ni kwanini nchi zote zilizofuata communism mpaka sasa haziko sawa kiuchumi?

Viva Karl max....Viva Communism.
Haziko sawa kiuchumi kutokana na mambo mengi mkuu. Na ukumbuke kila pahala panatofautiana matatizo na jinsi tunavyotumia approach zetu. Naweza kusema hakuna kitu kama communism bila capitalism. They both need each other.kuendelea lazima uwe na both otherwise utapoteza mwelekeo na kuharibika. Haya ni maoni yangu sio ya mtu.
 
Haziko sawa kiuchumi kutokana na mambo mengi mkuu. Na ukumbuke kila pahala panatofautiana matatizo na jinsi tunavyotumia approach zetu. Naweza kusema hakuna kitu kama communism bila capitalism. They both need each other.kuendelea lazima uwe na both otherwise utapoteza mwelekeo na kuharibika. Haya ni maoni yangu sio ya mtu.
Hapo unazungumzia dependence theory of social development.
 
Haziko sawa kiuchumi kutokana na mambo mengi mkuu. Na ukumbuke kila pahala panatofautiana matatizo na jinsi tunavyotumia approach zetu. Naweza kusema hakuna kitu kama communism bila capitalism. They both need each other.kuendelea lazima uwe na both otherwise utapoteza mwelekeo na kuharibika. Haya ni maoni yangu sio ya mtu.
Lakini pia mkuu nchi zilizofuata Communism haziko sawa kiuchumi kwa sababu nyingi ziliubaka mfumo huo,kwa sababu Communism ni stage ya mwisho ya maendeleo na hii inakuja baada ya Capitalism,watu wanaoweza kwenda sawa ni watu wa Ulaya na Amerika walioendelea na Capitalism toka mwanzo kwa sababu Communism inahitaji miundo mbinu yote iwe sawa/safi,uchumi uko safi kuanzia serikalini mpaka kwa mtu mmoja mmoja.
Sasa nchi nyingi kama Tanzania kwa mfano iliingia kwenye mfumo wakati huo ndo iko inajijenga kitu ambacho kufeli ni lazima,China wameweza kwa kiasi fulani kwa sababu wao wana population kubwa pia hata miundombinu yao waliiweka sawa toka kipindi hiko,pia hapakuwa na external infuence ya nguvu ya kuwachanganya..............mi hupenda sana maandiko ya Karl Marx.....japo hata Adam Smith namkubali sana ambae ukijaribu kulinganisha hawa watu wawili theories zake ndo zinaongoza dunia ila hata Marx theories zake sio kwamba zimeshindwa la hasha bado muda wake mwafaka zitakuja kutumika na wakati huo dunia itakuwa pahala salama pa kuishi yaani kutakuwa na balance ofa power!!!!!
 
Lakini pia mkuu nchi zilizofuata Communism haziko sawa kiuchumi kwa sababu nyingi ziliubaka mfumo huo,kwa sababu Communism ni stage ya mwisho ya maendeleo na hii inakuja baada ya Capitalism,watu wanaoweza kwenda sawa ni watu wa Ulaya na Amerika walioendelea na Capitalism toka mwanzo kwa sababu Communism inahitaji miundo mbinu yote iwe sawa/safi,uchumi uko safi kuanzia serikalini mpaka kwa mtu mmoja mmoja.
Sasa nchi nyingi kama Tanzania kwa mfano iliingia kwenye mfumo wakati huo ndo iko inajijenga kitu ambacho kufeli ni lazima,China wameweza kwa kiasi fulani kwa sababu wao wana population kubwa pia hata miundombinu yao waliiweka sawa toka kipindi hiko,pia hapakuwa na external infuence ya nguvu ya kuwachanganya..............mi hupenda sana maandiko ya Karl Marx.....japo hata Adam Smith namkubali sana ambae ukijaribu kulinganisha hawa watu wawili theories zake ndo zinaongoza dunia ila hata Marx theories zake sio kwamba zimeshindwa la hasha bado muda wake mwafaka zitakuja kutumika na wakati huo dunia itakuwa pahala salama pa kuishi yaani kutakuwa na balance ofa power!!!!!
Mkuu ukiangalia sana capitalism imefanya ulimwengu kutokuwa salama kabisa.
Watu wamezidinkuwa greedy and greedy in the name of capitalism. But chnese wao wanajua walikotoka na lipi wanataka. I wish ningeweza kuongea zaidi kuliko kuandika ninavyoona hizi ideology mbili.binfasi naona kuwa tunahitaji zote mbili kwa pamoja
 
Mkuu ukiangalia sana capitalism imefanya ulimwengu kutokuwa salama kabisa.
Watu wamezidinkuwa greedy and greedy in the name of capitalism. But chnese wao wanajua walikotoka na lipi wanataka. I wish ningeweza kuongea zaidi kuliko kuandika ninavyoona hizi ideology mbili.binfasi naona kuwa tunahitaji zote mbili kwa pamoja

Nakuunga mkono mkuu,tunazihitaji zote ila unajua kuna moja inatakiwa itangulie nyingine ifuate,sasa mfano kama sisi tulitaka kuitanguliza Communism kabla ya Capitalism,ila mi navyoamini inatakiwa itangulie Capaitalism na ifuate/kumalizia Communism ambapo sasa tunapata dunia sasa inakuwa ni pahala salama zaidi pa kuishi!!!
 
Nikisikia haya majina namkumbuka sana mwalimu wangu Dr Bruda Itandala wa UDSM(RIP)

Duc in Altum
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom