Karl Marx, Adam Smith and Others…!

TPP

JF-Expert Member
Mar 18, 2023
650
782
Thread hii ni maalumu katika kuelezea na kutambua mchango wa wanafalsafa mbalimbali wa kiuchumi au kisiasa katika dunia hii ya usasa.

Ruksa member yoyote mwenye uelewa na ufahamu kuhusu mwanafalsafa wa kiuchumi au kisiasa anaye mfahamu kumuelezea humu.

Binafsi yangu nitaanza na hawa wawili maarufu, Karl Marx na Adam Smith

Karl Marx
Huyu ni mwanafalsafa maarufu katika masuala ya uchumi na siasa mchango wake mkubwa binafsi nautambua zaidi katika mageuzi ya kisiasa katika mataifa mbalimbali duniani
Karl-Marx-1870.jpg


Sehemu kubwa alipo fanikiwa zaidi Marx mpaka sasa ni kwenye mageuzi ya kisiasa

Vitabu vyake maarufu duniani ni Das Kapital na The communist manifesto.

Maarufu zaidi ni "The communist manifesto" kilicho andikwa kwa ushirikiano na mwanafalsafa mwenza wa kijerumani Frederick Engels hiki ndicho kitabu kilicho leta mageuzi makubwa sana katika mataifa mbalimbali
ManifestoforMBooks_e47fb769-8d30-45c9-8aae-123b8c305efa_large.png

Adam Smith
Bwana Smith yeye alikuwa mwanafalsafa na mtaalamu wa masuala ya uchumi, asili yake ni uskotishi.
1200px-Adam_Smith_The_Muir_portrait.jpg


Bwana Smith mchango wake unatambulika zaidi duniani kupitia mawazo yake kuhusu dhana nzima ya uchumi bora ndani ya kitabu chake maarufu zaidi cha " The Wealth of Nations"
71L53XUgxdL._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg


miongoni mwa vitabu vyake maarufu ni pamoja na The Wealth of Nations na The theory of moral sentiments.

Mchango wa Smith katika dunia ya sasa ndani ya mataifa mbalimbali umejikita katika masuala ya uchumi au mageuzi ya kiuchumi katika mataifa mbalimbali duniani.

Smith ni mshindi wa mageuzi ya kiuchumi wakati Marx yeye ni mshindi katika mageuzi ya kisiasa/tawala katika dunia ya usasa.

N.b Taja au muelezee mwanafalsafa yoyote mtaalamu wa masuala ya uchumi au siasa unaye mfahamu sio lazima Marx na Smith.

Ruksa pia kuweka picha, documents, Quotes, machapisho, vitabu n.k kumuhusu huyo mwanafalsafa.
 
Thread hii ni maalumu katika kuelezea na kutambua mchango wa wanafalsafa mbalimbali wa kiuchumi au kisiasa katika dunia hii ya usasa.

Ruksa member yoyote mwenye uelewa na ufahamu kuhusu mwanafalsafa wa kiuchumi au kisiasa anaye mfahamu kumuelezea humu.

Binafsi yangu nitaanza na hawa wawili maarufu, Karl Marx na Adam Smith

Karl Marx
Huyu ni mwanafalsafa maarufu katika masuala ya uchumi na siasa mchango wake mkubwa binafsi nautambua zaidi katika mageuzi ya kisiasa katika mataifa mbalimbali dunianiView attachment 2589144

Sehemu kubwa alipo fanikiwa zaidi Marx mpaka sasa ni kwenye mageuzi ya kisiasa

Vitabu vyake maarufu duniani ni Das Kapital na The cummunist manifesto.

Maarufu zaidi ni "The cummunist manifesto" kilicho andikwa kwa ushirikiano na mwanafalsafa mwenza wa kijerumani Frederick Engels hiki ndicho kitabu kilicho leta mageuzi makubwa sana katika mataifa mbalimbaliView attachment 2589143
Adam Smith
Bwana Smith yeye alikuwa mwanafalsafa na mtaalamu wa masuala ya uchumi, asili yake ni uskotishi.View attachment 2589161

Bwana Smith mchango wake unatambulika zaidi duniani kupitia mawazo yake kuhusu dhana nzima ya uchumi bora ndani ya kitabu chake maarufu zaidi cha " The Wealth of Nation's"View attachment 2589159

miongoni mwa vitabu vyake maarufu ni pamoja na The Wealth of Nation's na The theory of moral sentiments

Mchango wa Smith katika dunia ya usasa ndani ya mataifa mbalimbali umejikita katika masuala ya uchumi au mageuzi ya kiuchumi katika mataifa mbalimbali duniani

Smith ni mshindi wa mageuzi ya kiuchumi wakati Marx yeye ni mshindi katika mageuzi ya kisiasa/tawala katika dunia ya usasa
I prefer Adam Smith over those two Karl and Hengel
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Thread hii ni maalumu katika kuelezea na kutambua mchango wa wanafalsafa mbalimbali wa kiuchumi au kisiasa katika dunia hii ya usasa.

Ruksa member yoyote mwenye uelewa na ufahamu kuhusu mwanafalsafa wa kiuchumi au kisiasa anaye mfahamu kumuelezea humu.

Binafsi yangu nitaanza na hawa wawili maarufu, Karl Marx na Adam Smith

Karl Marx
Huyu ni mwanafalsafa maarufu katika masuala ya uchumi na siasa mchango wake mkubwa binafsi nautambua zaidi katika mageuzi ya kisiasa katika mataifa mbalimbali dunianiView attachment 2589144

Sehemu kubwa alipo fanikiwa zaidi Marx mpaka sasa ni kwenye mageuzi ya kisiasa

Vitabu vyake maarufu duniani ni Das Kapital na The communist manifesto.

Maarufu zaidi ni "The cummunist manifesto" kilicho andikwa kwa ushirikiano na mwanafalsafa mwenza wa kijerumani Frederick Engels hiki ndicho kitabu kilicho leta mageuzi makubwa sana katika mataifa mbalimbaliView attachment 2589143
Adam Smith
Bwana Smith yeye alikuwa mwanafalsafa na mtaalamu wa masuala ya uchumi, asili yake ni uskotishi.View attachment 2589161

Bwana Smith mchango wake unatambulika zaidi duniani kupitia mawazo yake kuhusu dhana nzima ya uchumi bora ndani ya kitabu chake maarufu zaidi cha " The Wealth of Nation's"View attachment 2589159

miongoni mwa vitabu vyake maarufu ni pamoja na The Wealth of Nation's na The theory of moral sentiments

Mchango wa Smith katika dunia ya usasa ndani ya mataifa mbalimbali umejikita katika masuala ya uchumi au mageuzi ya kiuchumi katika mataifa mbalimbali duniani

Smith ni mshindi wa mageuzi ya kiuchumi wakati Marx yeye ni mshindi katika mageuzi ya kisiasa/tawala katika dunia ya usasa
Free market economy and Gross domestic product were his concepts -Adam Smith.
Ukipata muda tuletee habari ya Microfinance by Muhammad Yunus.
 
Thread hii ni maalumu katika kuelezea na kutambua mchango wa wanafalsafa mbalimbali wa kiuchumi au kisiasa katika dunia hii ya usasa.

Ruksa member yoyote mwenye uelewa na ufahamu kuhusu mwanafalsafa wa kiuchumi au kisiasa anaye mfahamu kumuelezea humu.

Binafsi yangu nitaanza na hawa wawili maarufu, Karl Marx na Adam Smith

Karl Marx
Huyu ni mwanafalsafa maarufu katika masuala ya uchumi na siasa mchango wake mkubwa binafsi nautambua zaidi katika mageuzi ya kisiasa katika mataifa mbalimbali dunianiView attachment 2589144

Sehemu kubwa alipo fanikiwa zaidi Marx mpaka sasa ni kwenye mageuzi ya kisiasa

Vitabu vyake maarufu duniani ni Das Kapital na The communist manifesto.

Maarufu zaidi ni "The communist manifesto" kilicho andikwa kwa ushirikiano na mwanafalsafa mwenza wa kijerumani Frederick Engels hiki ndicho kitabu kilicho leta mageuzi makubwa sana katika mataifa mbalimbaliView attachment 2589143
Adam Smith
Bwana Smith yeye alikuwa mwanafalsafa na mtaalamu wa masuala ya uchumi, asili yake ni uskotishi.View attachment 2589161

Bwana Smith mchango wake unatambulika zaidi duniani kupitia mawazo yake kuhusu dhana nzima ya uchumi bora ndani ya kitabu chake maarufu zaidi cha " The Wealth of Nations"View attachment 2589159

miongoni mwa vitabu vyake maarufu ni pamoja na The Wealth of Nations na The theory of moral sentiments.

Mchango wa Smith katika dunia ya sasa ndani ya mataifa mbalimbali umejikita katika masuala ya uchumi au mageuzi ya kiuchumi katika mataifa mbalimbali duniani.

Smith ni mshindi wa mageuzi ya kiuchumi wakati Marx yeye ni mshindi katika mageuzi ya kisiasa/tawala katika dunia ya usasa.

N.b Taja au muelezee yoyote mwanafalsafa yoyote mtaalamu wa masuala ya uchumi au siasa unaye mfahamu sio lazima Marx na Smith.
Sipendi socialism definetly siwez mpenda karl marx
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Sipendi socialism definetly siwez mpenda karl marx
At one time Karl Marx supported capitalism when Joint Stock Market or Limited Liability Companies started. He thought that that would be the death of capitalism and imperial rise of socialism but we both know he was wrong.
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Thread hii ni maalumu katika kuelezea na kutambua mchango wa wanafalsafa mbalimbali wa kiuchumi au kisiasa katika dunia hii ya usasa.

Ruksa member yoyote mwenye uelewa na ufahamu kuhusu mwanafalsafa wa kiuchumi au kisiasa anaye mfahamu kumuelezea humu.

Binafsi yangu nitaanza na hawa wawili maarufu, Karl Marx na Adam Smith

Karl Marx
Huyu ni mwanafalsafa maarufu katika masuala ya uchumi na siasa mchango wake mkubwa binafsi nautambua zaidi katika mageuzi ya kisiasa katika mataifa mbalimbali dunianiView attachment 2589144

Sehemu kubwa alipo fanikiwa zaidi Marx mpaka sasa ni kwenye mageuzi ya kisiasa

Vitabu vyake maarufu duniani ni Das Kapital na The communist manifesto.

Maarufu zaidi ni "The communist manifesto" kilicho andikwa kwa ushirikiano na mwanafalsafa mwenza wa kijerumani Frederick Engels hiki ndicho kitabu kilicho leta mageuzi makubwa sana katika mataifa mbalimbaliView attachment 2589143
Adam Smith
Bwana Smith yeye alikuwa mwanafalsafa na mtaalamu wa masuala ya uchumi, asili yake ni uskotishi.View attachment 2589161

Bwana Smith mchango wake unatambulika zaidi duniani kupitia mawazo yake kuhusu dhana nzima ya uchumi bora ndani ya kitabu chake maarufu zaidi cha " The Wealth of Nations"View attachment 2589159

miongoni mwa vitabu vyake maarufu ni pamoja na The Wealth of Nations na The theory of moral sentiments.

Mchango wa Smith katika dunia ya sasa ndani ya mataifa mbalimbali umejikita katika masuala ya uchumi au mageuzi ya kiuchumi katika mataifa mbalimbali duniani.

Smith ni mshindi wa mageuzi ya kiuchumi wakati Marx yeye ni mshindi katika mageuzi ya kisiasa/tawala katika dunia ya usasa.

N.b Taja au muelezee mwanafalsafa yoyote mtaalamu wa masuala ya uchumi au siasa unaye mfahamu sio lazima Marx na Smith.

Ruhusu pia kuweka picha, documents, Quotes, machapisho, vitabu n.k kumuhusu huyo mwanafalsafa.
Communism Ni mfumo wa hovyo Sana Sana,Karl nikimkubali itabd nijiombe msamaha
 
Kwa nini ipo hivyo ?
The biggest mistake kwny mifumo ya kijamaa ni kukandamiza haki za binadamu,pia communism inahubiri equality ambayo haipo,ktk mfumo wa kijamaa kiongoz aweza fikiria na kuamua lolote kwa niaba ya raia wengine wote,swali ni je,vp akikosea au kupotoka????communists are the devil's workshop
 
My role model in Economics is Joseph Schumpeter with his theory of Entrepreneurship ( Combining land,labour and capital in production).
But one thing I have noticed is that we in Third world countries most aren't entrepreneurs but petty traders who consider themselves entrepreneurs.
 
The biggest mistake kwny mifumo ya kijamaa ni kukandamiza haki za binadamu,pia communism inahubiri equality ambayo haipo,ktk mfumo wa kijamaa kiongoz aweza fikiria na kuamua lolote kwa niaba ya raia wengine wote,swali ni je,vp akikosea au kupotoka????communists are the devil's workshop
Hakuna kitu cha kipumbavu kuwahi kufikiriwa kama ujamaa
 
🤔🤔🤔🤔🤔🤔

Just a minute........

Labdq nipekue library yangu,vitabu vyote vinavyohusu ubepari hasa by Ayn Rand na wengineo

N.b Taja au muelezee mwanafalsafa yoyote mtaalamu wa masuala ya uchumi au siasa unaye mfahamu sio lazima Marx na Smith.

Ruksa pia kuweka picha, documents, Quotes, machapisho, vitabu n.k kumuhusu huyo mwanafalsafa.
 
Back
Top Bottom