MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
Kwenye historia ya uchumi anatajwa mjerumani mwenye Asili ya kiyahudi Karl Marx ndio inasemekana ndio Muasisi wa hii kitu.
Kwa Mujibu wa kitambo kimoja The History of Modern Economics Great thinkers wameelezewa watu nguli wote wa uchumi akiwemo Karl Marx. Cha ajabu hoja ya huyu jamaa ilionekana kama ni vyongo na haiwezekani unalinganisha hoja ya Adam Smith mchumi mwingeleza.
Maswali ni kwa nini na Nani yuko nyuma ya kutapakaa kwa communism na usocialism duniani?
Inasemekana hata hiyo communism manifesto inayosemekana aliitunga library moja maarufu huko uingereza alipewa hakuiandika yeye?
Kuna source nyingine zinasema Karl alipewa hiyo tenda ya kuandaa communist manifesto na kikundi cha watu kiitwacho 'The League of Just Men'. Ni wakina Nani hawa na kwa malengo gani?
Kwa Mujibu wa kitambo kimoja The History of Modern Economics Great thinkers wameelezewa watu nguli wote wa uchumi akiwemo Karl Marx. Cha ajabu hoja ya huyu jamaa ilionekana kama ni vyongo na haiwezekani unalinganisha hoja ya Adam Smith mchumi mwingeleza.
Maswali ni kwa nini na Nani yuko nyuma ya kutapakaa kwa communism na usocialism duniani?
Inasemekana hata hiyo communism manifesto inayosemekana aliitunga library moja maarufu huko uingereza alipewa hakuiandika yeye?
Kuna source nyingine zinasema Karl alipewa hiyo tenda ya kuandaa communist manifesto na kikundi cha watu kiitwacho 'The League of Just Men'. Ni wakina Nani hawa na kwa malengo gani?