Kambaresharubu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 335
- 449
NguvaHapa sema chochote kile ambacho kimekua kikisadikika hakuna Taarifa rasmi,au research wala uthibitisho kama hivi
"Inasadikika Wazungu wengi waliliwa nyama walipofika kufanya upelelezi Afrika kwa Mara ya kwanza"
"Inasadikika China ni sehemu ya kwanza kabisa kuendelea na kustarabika duniani"
"Inasadikika Waafrika na Waarabu ndizo race zenye uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo"
Endelea
Inasadikika hao viumbe ni wadogo mno kimaumbile kuliko binadamu wa sayari ya tatu, DuniaInasadikika tena hao viumbe wapo wenye akili na teknologia ya juu kuliko hata binadam ( aliens)
Inasadikika kuwa wewe una madhambi mengi mno kiasi cha kuhitaji kuombewaIna sadikika mniombee kwelikweli
Inasadikika Warumi waliaminishwa kwamba watatawala milele, lakini ajabu leo hawamo katika utawalaInasadikika kuwa CCM itatawala milele Tanzania!
Inasadikika kukaa nyuma ndo kunakupa raha siku zote japokuwa unapitwa na vingiInasadikika kuwa watu wa Mombasa wanapenda nyuma kiasi kuwa hata wakiingia church wanakaa nyuma na kwenye matatu wanataka nyuma tu, hata darasani utawakuta nyuma na kwenye matokeo class wanakuwa wa mwisho.
Inasadikika kuwa konokono ni mtamu kuliko churaInasadikika Chura ni mtamu sana
inasadikika mi ni mtoto ndo maana madem wananiita babyInasadikika ulikua kijana 2005 sio sasa
Inasadikika aya ya mwisho n uwongoinasadikika kulikuwa na bondia alikuwa na nguvu kiasi kwamba alipokuwa akipigana ilibidi afungwe mkono mmoja. Aliyetajwa nilimtafuta,nikakuta ni uongo
Inasadikika hamna mkongoman wakutokea butihamaInasadikika Rais wa kwanza Tanzania alikuwa mkongomani.
Inasadikika wewe ndo legendary humu jfPost ya kusadikika