SoC04 Selikali iongeze wawekezaji wengi hata kwa kuwapunguzia kodi ili fursa za ajira ziwe nyingi kwa vijana

Tanzania Tuitakayo competition threads

Ismod

New Member
May 23, 2024
1
0
Mtazamo wangu naona serikali iweze kupunguza kodi kwa wawezekaji ili waje kwa wingi vijana wengi waweze kupata ajira.

Tazama hata nchi zilizoendelea ajira ni nyingi mpaka watu wanafuatwa na kampuni ili waajiriwe angali bado mtu yupo chuo.

Hivyo inasababisha hata maendeleo kwa nchi kwani kodi zitakua nyingi sana na taifa letu likasonga mbele zaidi.

Na ningependa serikali yetu iongeze sekta binafsi kama za umeme ili kuleta ushindani katika nchi na naamini tatizo la umeme pia litapungua na vijana wengi watapata ajira.
 
Na ningependa serikali yetu iongeze sekta binafsi kama za umeme ili kuleta ushindani katika nchi na naamini tatizo la umeme pia litapungua na vijana wengi watapata ajira.
Nishati kwa maendeleo ya Taifa👊
 
Back
Top Bottom