Selfika na JF: Snap it. Show it

Kula kunaenda na kunywa🍹

Kwani kuna kulala, sio tutageuza siku hiyo hiyo jion?
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… alfajiri ndio tunaheuza kwaiyo mlalo hata wa msaa kadhaa tuuu ... mojito πŸ“ ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ ikipata mtaalamu ee
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… alfajiri ndio tunaheuza kwaiyo mlalo hata wa msaa kadhaa tuuu ... mojito πŸ“ ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ ikipata mtaalamu ee
Hapana chezea πŸ“mojito, unaweza jikuta unataka ushibe tu hiyo yenyewπŸ˜‹πŸ˜

Kama kuna mlalo basi haina haja ya kugeuza asubuh, ngoma itachomoka jioni.
Hamna haraka
 
Ni kuchekaaa tyuuuu makasiriko ya ninii kitoto cha Mungu, life lenyewe fyupiii [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie tenaaa kucheka na kufurahi ndo pakeee, staki stress na makasiriko mie, maisha enyewe ya mkopo haya why nijibane?

Weuweeeeeeeeeeeeeh!!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie tenaaa kucheka na kufurahi ndo pakeee, staki stress na makasiriko mie, maisha enyewe ya mkopo haya why nijibane?

Weuweeeeeeeeeeeeeh!!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Usijibane shouzyy maisha ndo hay haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…