Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,565
- 235,364
Kazi ya blaza amepachika kajuniaEwaaaaa!! umeanza kunenepa naona trakooo limetokeza haswaa [emoji3577]
Afu kumbe loc ni ushuwani ogijoo kabisa ππππ€£π€£π€£π€£
Marahaba mdogo anguπ
Af hyo avatar yako sijaweza kuizoea unajua.Ndiwooooo
Shikamoo ππππ
Rudi kwa miguu ufanye mazoezi.Umeshanichanganya akili yangu sijui nitarud vp leo home
π€£π€£π€£ nani huyo kakupa desa, asije akawa ananichora tu hapa.Afu kumbe loc ni ushuwani ogijoo kabisa πππ
Waaaah mepewa desa.
Me mwenyewe kuna muda najisahau ππ ila ni heri ushtuke kuliko mie nilivyobadilishwa jinsia huko mtaa wa 7.Af hyo avatar yako sijaweza kuizoea unajua.
Nikiona notification inanishtuaπ em badilisha bana
Ye mwenyewe kabaki anauliza βwhy u asked..π€£π€£π€£ nani huyo kakupa desa, asije akawa ananichora tu hapa.
Embu nibariki na mimi binti yanguBrazaaaa kula hiyo hapo⦠Hahaaa
Shikamoo ankoo⦠iko hapo chini kidogoEmbu nibariki na mimi binti yangu
Na inatutesa si kidogo ujue, tuhurumie wenzakoπ€£π€£Me mwenyewe kuna muda najisahau ππ ila ni heri ushtuke kuliko mie nilivyobadilishwa jinsia huko mtaa wa 7.
Sasa wakati nasubiri new avatar from abroad, wacha hii iendelee kuwatesa.
Yaani binti yangu una sura ya kitoto hadi raha na hilo dimpo hapo kwenye masseter muscles, babu yako sina neno tenaβΊ
Anhaaa, kumbe ndiyo maaana........ πBrazaaaa kula hiyo hapoβ¦ Hahaaa
My wangu we ni biurifoooooooππππ
Na hamtapumzika mpaka mkome ππNa inatutesa si kidogo ujue, tuhurumie wenzakoπ€£π€£
Bora tu hiyo new avatar ije fasta tupumzike
Ndio maana nini braza πππAnhaaa, kumbe ndiyo maaana........ π
Takupeleka bestie, hilo usiofuYe mwenyewe kabaki anauliza βwhy u asked..
πππ
Nikija munipeleke bana woii