Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,433
Usiku sana ulale mjukuu.Pika kwanza,tuone
Labda bamia likianza kuiva uweke huo mchicha,,,,nipo nje nacheza rede vikiiva uniite
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndivyo ilivyo.Ooh kumbe
Bageshi!Mimi msukuma lakini kusonga ugali wa wanaume nane wa kisukuma ni kipengele kwa kweli
Kwa kweli inafaa nauli agharamie mme ni heshima kwetu..labda hayuko sawa nawe ni mtu wake wa siku zote sio mbaya ukajisafirishaAh sipendi masuala ya kuomba nauli
Ila inategemea unatokea wapi Kama ni kutoka mkoa A hadi B hapo ni sawa .
Ndivyo ilivyo.
Hivi utamwachaje mwanamke humble?
Mcheshi?
Mwelewa?
Warembo wengi wakiona wanspendwa ..huanza kubwetrka..hawana lugha laini ya kimahaba tena.
Jeuri inasnza.
Ujue mwanamme pamoja na maguvu yake ni mwoga mno kuwa na mahusiano na mke jeuri..
Unajua kwanini William kakimbia?
Jino babuUsiku sana ulale mjukuu.
Nimeshachanganya kila kitu vitajuana vyenyewe humo!
Inavyosemekana ni yeye..hata anavyoongea unaona huyo binti ni chaka.Ah sahihi
Huwezi kumuacha hapo
Kwa hiyo wanawake wengi wanahisi wamefika kumbe bado safari mbichi .
Kwamba yule mdada ni mjeuri ? Nimeona picha zile ni huyo dada au
Ooh pride fulani hivi ukimhudumia from transport kula etc .Kwa kweli inafaa nauli agharamie mme ni heshima kwetu..labda hayuko sawa nawe ni mtu wake wa siku zote sio mbaya ukajisafirisha
Kile kidadaNdivyo ilivyo.
Hivi utamwachaje mwanamke humble?
Mcheshi?
Mwelewa?
Warembo wengi wakiona wanspendwa ..huanza kubwetrka..hawana lugha laini ya kimahaba tena.
Jeuri inasnza.
Ujue mwanamme pamoja na maguvu yake ni mwoga mno kuwa na mahusiano na mke jeuri..
Unajua kwanini William kakimbia?
Nilivyona video for the first time nilimuonea huruma huyo dada ..ila baada ya kusoma aisee nahisi kuna kitu hakipo sawa . Ingekuwa vyema tusikie side ya William .Inavyosemekana ni yeye..hata anavyoongea unaona huyo binti ni chaka.
Yes..kuna siku nawe unasema kwa bf wako kuwa baby nimekumiss nakuja..na unajipeleka. Hii inakuingezea credit piaOoh pride fulani hivi ukimhudumia from transport kula etc .
Yeah kama ni mtu wako ni vyema kwenda tu
hahaha nimekulia mjini.. Kaka zangu bila ugali mambo hayajaenda bado..Bageshi!
Ng'wagūkū nkoyi...
Labda umekulia mjini au ni wa kishua sana!
Mwanaume mwenye akili kamwe hawwzi kutoka public kujiteteaNilivyona video for the first time nilimuonea huruma huyo dada ..ila baada ya kusoma aisee nahisi kuna kitu hakipo sawa . Ingekuwa vyema tusikie side ya William .
Anha kumbe inaongeza creditYes..kuna siku nawe unasema kwa bf wako kuwa baby nimekumiss nakuja..na unajipeleka. Hii inakuingezea credit pia
Ulipaswa kujibu salaamhahaha nimekulia mjini.. Kaka zangu bila ugali mambo hayajaenda bado..
Sijui kujibu jamani 😄Ulipaswa kujibu salaam
Halafu maelezo yangefuata
Kweli wa mjini wewe
Ndio maana yakeAnha kumbe inaongeza credit
Eti unajipeleka haha
Ah sahihi .Mwanaume mwenye akili kamwe hawwzi kutoka public kujitetea