Watu wa dar es salaam acha tu, bila Lenie tungelala stand π π π basi we kapige story na Lenie mie ngoja nilale zangu maana nimechoka sana, nilitembea kutoka kimara hadi mbezi mwisho
Voda hizi siku kadhaaa ni jipu, jana nilikoma hadi nikasema au nacho angali kinafanya malaika wapunguze speed ya internet ili niache.... nikaenda sehemu ingine ivyo ivyo mkoani hivyo hivyo nahisi wanashida mahala π¬π¬
Watu wa dar es salaam acha tu, bila Lenie tungelala stand π π π basi we kapige story na Lenie mie ngoja nilale zangu maana nimechoka sana, nilitembea kutoka kimara hadi mbezi mwisho