Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siachi kula mayonnaise

20220514_205321_2.jpg
 
mayonnaise na chips ni 🔥🔥🔥 ila isije kuwa tunakosa kwasababu wanadhani tupo dar pure
Hakuna chakula cha mwanamke wala mwanaume, sasa kama mtu anakula chips, burger na mayonnaise unamwita mwanaume wa Dar, mayonnaise imetengenezewa mayai, vinegar, chumvi n.k, sasa kama mayonnaise ni ya wanawake usile mayai, kwa maana yai ndilo limetengeneza hio mayonnaise, usitumie na lemon, sasa ukichunguza recipe za mayonnaise ndizo hizo hao wanaume wa mikoani wanatumia kwenye vyakula kila siku.

Sasa na wao ni wanaume wa Dar wenzetu, na mayonnaise sitoacha kula.
 
Hakuna chakula cha mwanamke wala mwanaume, sasa kama mtu anakula chips, burger na mayonnaise unamwita mwanaume wa Dar, mayonnaise imetengenezewa mayai, vinegar, chumvi n.k, sasa kama mayonnaise ni ya wanawake usile mayai, kwa maana yai ndilo limetengeneza hio mayonnaise, usitumie na lemon, sasa ukichunguza recipe za mayonnaise ndizo hizo hao wanaume wa mikoani wanatumia kwenye vyakula kila siku.

Sasa na wao ni wanaume wa Dar wenzetu, na mayonnaise sitoacha kula.
 
Hakuna chakula cha mwanamke wala mwanaume, sasa kama mtu anakula chips, burger na mayonnaise unamwita mwanaume wa Dar, mayonnaise imetengenezewa mayai, vinegar, chumvi n.k, sasa kama mayonnaise ni ya wanawake usile mayai, kwa maana yai ndilo limetengeneza hio mayonnaise, usitumie na lemon, sasa ukichunguza recipe za mayonnaise ndizo hizo hao wanaume wa mikoani wanatumia kwenye vyakula kila siku.

Sasa na wao ni wanaume wa Dar wenzetu, na mayonnaise sitoacha kula.
😅😅😅 mayonnaise tunaanzaje kuacha kula na wakati nzuri sanaaa , huwa wasipo wake ya kutosha huwa nalipia hata waongeze nzuri sana.. watu watakuwa na magomvi binafsi na wanaume wa dar au wana waonea wivu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
_King hebu mpatie rubani io Kitu unakunywa kwanza arelax kidogo;!😂😂🤣
Hakuna chakula cha mwanamke wala mwanaume, sasa kama mtu anakula chips, burger na mayonnaise unamwita mwanaume wa Dar, mayonnaise imetengenezewa mayai, vinegar, chumvi n.k, sasa kama mayonnaise ni ya wanawake usile mayai, kwa maana yai ndilo limetengeneza hio mayonnaise, usitumie na lemon, sasa ukichunguza recipe za mayonnaise ndizo hizo hao wanaume wa mikoani wanatumia kwenye vyakula kila siku.

Sasa na wao ni wanaume wa Dar wenzetu, na mayonnaise sitoacha kula.
 
Hakuna chakula cha mwanamke wala mwanaume, sasa kama mtu anakula chips, burger na mayonnaise unamwita mwanaume wa Dar, mayonnaise imetengenezewa mayai, vinegar, chumvi n.k, sasa kama mayonnaise ni ya wanawake usile mayai, kwa maana yai ndilo limetengeneza hio mayonnaise, usitumie na lemon, sasa ukichunguza recipe za mayonnaise ndizo hizo hao wanaume wa mikoani wanatumia kwenye vyakula kila siku.

Sasa na wao ni wanaume wa Dar wenzetu, na mayonnaise sitoacha kula.
 
Back
Top Bottom