Ukamalize hukohuko nakutuwakilisha vema Selfika baba pasta Selfika zisifike lawama pullliiiizzzzz huku ni amane na furaha tu no manung'uniko !!ππ
Siku nyingine si mnaziwahi lakini !!!!!! Afu na pilot Mnaniangusha Shangazi enu bana mnakwama wapi hadi kufikia hatua ya kulia live banaaaπ€£π€£π€£πππ!!!
π π π shangazi nitahamia kwako kibarua kikiota nyasi, maana kuna watu hapa nimeshtuka watu wengi sana wanachungulia kimyaa kimyaaa, unaweza kuta nimeisha kwaluza na boss alafu akiniona ndio mie kesho naanza kula majani
π π π mambo ya kuja kutangazwaaa humu acha tuyaepukeee unaweza kimbia jukwaa hadi ukavunjika miguuu ukisikia tu jf unabaki.. muelekeza tu Post M-alone mbinu nae apate chochote mie simo nimekubali kushindwaaa
π π π mambo ya kuja kutangazwaaa humu acha tuyaepukeee unaweza kimbia jukwaa hadi ukavunjika miguuu ukisikia tu jf unabaki.. muelekeza tu Post M-alone mbinu nae apate chochote mie simo nimekubali kushindwaaa
shangazi nitahamia kwako kibarua kikiota nyasi, maana kuna watu hapa nimeshtuka watu wengi sana wanachungulia kimyaa kimyaaa, unaweza kuta nimeisha kwaluza na boss alafu akiniona ndio mie kesho naanza kula majani