Kila mtu kwenye maisha Kuna kitu anakiogopa bila sababu, ni kawaida.
Mfano
Heaven Sent Kuna vitu anaviogopa ila atakuja hapa mwenyewe aseme.
Binafsi naogopa kinyonga kuliko maelezo, ntakua nyoka na Kila aina ya kiumbe lakini kinyonga nikimuona tu, nasismka sitaki hata kumwangalia.
Kimsingi sitaki iwe karibu sana na maji ila niwe naweza kuyaina maji nikiwa ndani ya kanyumba kenye madirisha makubwaaaa ya viooo.