Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,433
Hao unaokutana nao ni wa mjini au kijijini? Siku hizi ubabe wa nini tena jamani? Nani utamfanyia ubabe siku hizi?Hapo ndo sijui mm sijaona hao mil 12 nimewaona naoishi nao
Semaunajiteteaubabe usipinge naKama kawa
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Safari zako nyingi za utalii wa ndani huwa unapita Mwanza na Lamadi. Jifunze Kisukuma japo kidogo kitakusaidia njiani huko hata ukiwaona Wasukuma wananunua miwa na mahindi pamoja na mayai huko njiani upige nao stori...
Kuna watu wana roho ngumu!
Marahaba mjukuu.
Mimi sisusagi japo ni last born....
Babu,mie huyo natafuta ubavu wangu hapa,tuyajenge maishaKuna watu wana roho ngumu!
LoohHao unaokutana nao ni wa mjini au kijijini? Siku hizi ubabe wa nini tena jamani? Nani utamfanyia ubabe siku hizi?
Huyu dogo nimemlea mwenyewe na nimezunguka naye duniani kote mwenyewe. Hana ubabe hata chembe. Si utaona?
Nikikaa na msukuma seat moja moja kwa moja naona maisha yameshavurugika(utulivu unatoweka)Safari zako nyingi za utalii wa ndani huwa unapita Mwanza na Lamadi. Jifunze Kisukuma japo kidogo kitakusaidia njiani huko hata ukiwaona Wasukuma wananunua miwa na mahindi pamoja na mayai huko njiani upige nao stori...
Hujambo binti?
Umekunywa lemon juice na black coffee leo asubuhi??
Miye poa kabisa aisee...Nikikaa na msukuma seat moja moja kwa moja naona maisha yameshavurugika(utulivu unatoweka)
Ninyi mkianza kunifundisha niko tayar.lakini hawa wa kwenye mabas lamadi Sijui wapiwapi huko hapana kwakweli waniache niendelee na safari Kwa Amani ya bwana Kwa utulivu.
Sijambo.habari yako!
Vyema.Miye poa kabisa aisee...
Kazi ya kukufundisha Kisukuma hiyo namwachia wa kienyeji mwenzio Elly!
Nitakuwa around kusimamia masomo yanavyoendelea....Vyema.
Nilikuwa naisubiria hii ruhusa Kwa muda mrefu🙏👏
Naimani nitaelewa mapema mno
Mkuu wa kamati ya portable selfika
Niaje mkuu
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Jamani loooh,,,,,,,utajiju sikupi umbea sasa.
Rafiki yako kitumbo A Kakutwa na jambo huko.
Nimecheka Kwa sauti sana.😆😆Nitakuwa around kusimamia masomo yanavyoendelea....
Au atakuwa anakuja anakufundishia home na mimi nikiwepo tena nje kwenye veranda...
Vinginevyo ni afadhali tu nikufundishe mwenyewe!
Nimeishia la Saba.Kamanda P akifanya yake ukajiachia ukawa yutong na hiyo shepu yako ya kimalaika ndo nitaanza kutumia mu. Kwa sasa ni mwendo wa ka- tu na ki-
Si ulikuwa fomu foo juzi juzi tu hapa. Umeshavisahau viambishi rejeshi mara hii?