Nimekaa sana huko enzi za shule naijua mbeya vizuri mno na naipenda, nitakuagiza mchele, aiseh mchele wa mbeya ni matatizo nilikua naagiza sana nikaja kuacha ila ukipika huo mchele jirani lazima ombe kujua umenunua wapi mchele kwa harufu tu ilivyo nzuri