Selfika na JF: Snap it. Show it

Unafanya nini Nansio? Si ajabu unawinda wajukuu zangu tu huko


Na ukijichanganya huko mamba atatumwa aje akudabue hata kwenye kikombe cha maji ya kunywa...
Mkuu usiwe na khofu!
1. Niko kwenye mfungo
2. Nimekwenda mara moja kwa mambo ya kielimu zaidi
3. Wajukuu zako itakuwa wapo pale maeneo ya Kayenze, mara nyingine nikienda nitawacheki (Nifaidi uumbaji)
 
Unafanya nini Nansio? Si ajabu unawinda wajukuu zangu tu huko


Na ukijichanganya huko mamba atatumwa aje akudabue hata kwenye kikombe cha maji ya kunywa...
Mkuu usiwe na khofu!
1. Niko kwenye mfungo
2. Nimekwenda mara moja kwa mambo ya kielimu zaidi
3. Wajukuu zako itakuwa wapo pale maeneo ya Kayenze, mara nyingine nikienda nitawacheki (Nifaidi uumbaji)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…